Ni aibu ya Mwaka Kwa Amos Makalla

Ni aibu ya Mwaka Kwa Amos Makalla

Makalla amechanganyikiwa, hajui ashike lipi na aache lipi.
Mambo yanadaiwa yameshaparanyika huko ndani ya CCM, Makalla kaambiwa wewe ni mtu mzima tena mwenye CPA sasa nenda kaseme chochote kilichopo kichwani ili kutuliza mambo.
😁😁😁Aisee unajua nimefurahi Samia kaumiza sana Chadema akitegemea atapata unafuu kimemlamba
 
Hakuna mtu msafi kabisa mwenye Roho wa Mungu anayeweza kuwa kwenye hii CCM ya sasa, ya akina makala, iliyojaa watu wenye roho ya shetani, CCM ya kuteka na kuua watu, CCM ya kudhulumu haki mbalimbali za binadamu.

CCM ya sasa ni alama ya uwepo wa shetani Duniani.

Ewe mtu mwema jitenge na Chama Cha Mashetani, ili ujitenge na la laana ya Muumba wetu.

Uwe Mungu wa haki, tunaomba mkono wako uwafikie wadhulumaji wa haki na wazao wao, waliojazana CCM.
Chama kinaongozwa na Jezebel aka jini Shumileta
 
Nimegundua CCM hawana aibu,kama hawana akili.
Wabunge karibia 5,000 wamelipia 500,000 kununua fomu za kugombea majimbo yote nchini!

Wanakwenda kuchunjwa na Samia Kamati kuu,wakati yeye hakulipia fomu ya Urais, hakuchukua fomu ya kugombea na hakuirudisha. Huo uhalali uko wapi au haki Iko wapi?
 
Ilikuwa kumzunguka bi Mkubwa

Wahuni si watu
Samia siyo mwana siasa. Alitoka kwao na makapu ya nazi na ng'onda hajui lolote kuhusu siasa za Tanzania
Cheo cha VP kiliwekwa kama zilivyowekwa nafasi 10 za wabunge zile za raisi. Kwamba ikitokea siku bunge ni 50% kwa 50% basi wale 10 watazidisha idadi ya ccm.
Vp amewekwa kwamba ikitokea ya magufuli huyu amalizie sasa kamaliza anachonga mzinga
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
View attachment 3411781View attachment 3411782
Tanzania kuna vituko kwa hiyo hii aibu ya mwaka unayosema itafanya uchaguzi usiwepo😀
 
Samia siyo mwana siasa. Alitoka kwao na makapu ya nazi na ng'onda hajui lolote kuhusu siasa za Tanzania
Cheo cha VP kiliwekwa kama zilivyowekwa nafasi 10 za wabunge zile za raisi. Kwamba ikitokea siku bunge ni 50% kwa 50% basi wale 10 watazidisha idadi ya ccm.
Vp amewekwa kwamba ikitokea ya magufuli huyu amalizie sasa kamaliza anachonga mzinga
Mpaka muda huu hapiti
 
We kibwengo ht uloge, uiombee dua mbaya CCM we ni sawa na kuku tu. Lipumbavu fukara km ww unahangaika na dude kubwa km CCM km siyo kichaa ni nini. We unaumwa!
Chawa anafanana hivi.
 

Attachments

  • Screenshot 2025-07-20 085522.png
    Screenshot 2025-07-20 085522.png
    141.9 KB · Views: 8
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
View attachment 3411781View attachment 3411782
Mifumo haisomani
 
Back
Top Bottom