Ni aibu ya Mwaka Kwa Amos Makalla

Ni aibu ya Mwaka Kwa Amos Makalla

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
20250719_230737.jpg
20250719_230735.jpg
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
We kibwengo ht uloge, uiombee dua mbaya CCM we ni sawa na kuku tu. Lipumbavu fukara km ww unahangaika na dude kubwa km CCM km siyo kichaa ni nini. We unaumwa!
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
Just stinking rubbish
 
We kibwengo ht uloge, uiombee dua mbaya CCM we ni sawa na kuku tu. Lipumbavu fukara km ww unahangaika na dude kubwa km CCM km siyo kichaa ni nini. We unaumwa!
Kutukana ni kutudhihirishia kuwa wewe ni mgonjwa wa akili.

Tukusaidie, JF siyo hospitali ya wenye uwendawazimu. Hospitali ya vichaa ipo Dodoma, waulize wenyeji wa Dodoma wakuelekeze mhali ilipo.

JF ni sehemu ya wenye akili timamu ambpo wanapingana kwa hoja.
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
View attachment 3411781View attachment 3411782
Karma is real.✍️
 
CCM mnafeli wapi
Mambo ni simple tu

Tungeni sheria kuzuia wenyeviti wa vyama kuwania uraisi


Hakuna mtu msafi kabisa mwenye Roho wa Mungu anayeweza kuwa kwenye hii CCM ya sasa, ya akina makala, iliyojaa watu wenye roho ya shetani, CCM ya kuteka na kuua watu, CCM ya kudhulumu haki mbalimbali za binadamu.

CCM ya sasa ni alama ya uwepo wa shetani Duniani.

Ewe mtu mwema jitenge na Chama Cha Mashetani, ili ujitenge na la laana ya Muumba wetu.

Uwe Mungu wa haki, tunaomba mkono wako uwafikie wadhulumaji wa haki na wazao wao, waliojazana CCM.
 
Kumbe ndiyo maana ya “labda mambo ya haribike sana kati ya sasa hivi na wakati huo”.
Yeesi ule ni mtego.ndo maana zikawekwa kete mbili ikishindwa hii nasogeza hii ikishindwa na hii kijana anaitwa kama mpya ambaye kimsingi ana uungwaji mkono sana kwenye jumuiya . Alishindwa kuukata mkono unaomlisha mwanawe
Tusubir
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
View attachment 3411781View attachment 3411782
Makalla amechanganyikiwa, hajui ashike lipi na aache lipi.
Mambo yanadaiwa yameshaparanyika huko ndani ya CCM, Makalla kaambiwa wewe ni mtu mzima tena mwenye CPA sasa nenda kaseme chochote kilichopo kichwani ili kutuliza mambo.
 
Back
Top Bottom