Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,878
- 18,895
Licha ya kujaza Wacongoman kibao kwenye timu yao, sijaona jezi ya Yanga kwenye picha hii ya wachezaji wa timu ya taifa ya DRC wakiwa na jezi za club zao
Tunasajili magasa tu?
Tunasajili magasa tu?