Je inaruhusiwa kuweka mkutano wa injili? Na kama sio unahisi kwa nini wanaogopa, hiyo dini inalindwa na wanadamuKwanini hakuna makafiri unamanisha nn?? Mie nasoma Oman nawapo wakristo watu wanchi za nje wanafanya kazi na wamepewa sehem malum ya makanisa sababu kufanya ibada zao. Lakini Hiyo nchi ya kislam 100% na katiba yake nawala hapewi uraiya asiyo muislam.