Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Wakola sana= asante sanaHili swali limeshajibiwa hapa zaidi ya mara 3 soma previous comment utaona tu.
Wakola sana= asante sanaHili swali limeshajibiwa hapa zaidi ya mara 3 soma previous comment utaona tu.
Uko sahihi sana, Miungu wako tofauti kati ya hayo makundiMungu wa wakristo sio Mungu wa waisiramu. Sass atawaita waombe kwa Mungu asie wake?
Una maono makubwaNchi za Uarabuni huwa zinatambua Ukristo kwenye Sherehe za Kuapishwa?
ha ha ha yani umeweka na alama ya mshangao,kazi ipo,mkuu inawezekana uelewa wetu unapishana sana,tutapotezeana mudaMchango gani kwa mfano?!
Umeeleweka.Baki na imani yako.Kuquote tu hapa umeshajibu kwa sababu mie sikuuliza swali ambalo lilikuwa linasubiri ulijibu.
Wazungu kwao ukristo ni kama sehemu tu ya utamaduni na ndiyo maana wanaufanya watakavyo. chukua hiyo
Hajakuelewa na hata kuelewa. Sumu wanazolishwa zinaharibu kabisa kufikiri kwao kuhusu dini.Umeeleweka.Baki na imani yako.
Kwani America imejitangaza ni taifa la kikristo au, kwa nini watambue dini ya kiyahudi Na kikristo, nchi za arabuni ni nchi zimejitangaza ni za kiislam, lete ushahidi america imejitangaza ni nchi ya dini ganiNchi za Uarabuni huwa zinatambua Ukristo kwenye Sherehe za Kuapishwa?
Nchi za arabuni zimejitangaza wazi ni nchi za kiislam, je america imejitangaza ni nchi ya dini ya kikristo Na kiyahudi lete ushahidi hapa, maana idadi ya wayahudi america ni ndogo kuliko idadi ya waislam Sasa iweje wayahudi washirikishwe waislam waachweAkikujibu naomba unitag.
Huyo ukristo ni wa mashariki ya kati,Yesu hakuwa mzungu,alikuwa mtu wa mashariki ya kati,kama walivyo waarabu ni wa mashariki ya kati.Uislam peleka Afghanistan.... Wamarekani waachie wakristo na wayahudi
Link Imam delivers message to Trump at inaugural service - CNNPolitics.comNimeangalia sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa 45 wa Marekani, Donald Trump lakini kilichonishangaza zaidi ni kuona madhehebu ya Kiislam yakitengwa katika sala ya kuliombea taifa na Rais Trump.
Madhehebu ya Kikristo na Kiyahudi yamepewa nafasi ya kutoa maombi lakini dhehebu la Kiislam halikupewa nafasi hiyo pamoja na takwimu kuonyesha Marekani ya sasa ina Waislam wengi.
Ni masikitiko sana kuona mpaka leo baadhi ya viongozi wa Marekani hawataki kukubali ukweli kuwa Marekani ya sasa ina waumini wengi sana wa madhehebu ya Kiislam.
Huu ni ubaguzi wa kidini ambayo unajenga chuki ndani na nje ya taifa la Marekani.
Ninajaribu kufikiria Waislam walioko Marekani wameguswa vipi na hili tukio ambalo kwa mtazamo wangu linatoa picha halisi kuhusu serikali ya Trump katika kushughulikia masuala ya Waislam na nchi za Kiislam.
Je, hii ni hatua ya kwanza katika kuufutilia mbali Uislam nchini Marekani?
Nimeangalia sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa 45 wa Marekani, Donald Trump lakini kilichonishangaza zaidi ni kuona madhehebu ya Kiislam yakitengwa katika sala ya kuliombea taifa na Rais Trump.
Madhehebu ya Kikristo na Kiyahudi yamepewa nafasi ya kutoa maombi lakini dhehebu la Kiislam halikupewa nafasi hiyo pamoja na takwimu kuonyesha Marekani ya sasa ina Waislam wengi.
Ni masikitiko sana kuona mpaka leo baadhi ya viongozi wa Marekani hawataki kukubali ukweli kuwa Marekani ya sasa ina waumini wengi sana wa madhehebu ya Kiislam.
Huu ni ubaguzi wa kidini ambayo unajenga chuki ndani na nje ya taifa la Marekani.
Ninajaribu kufikiria Waislam walioko Marekani wameguswa vipi na hili tukio ambalo kwa mtazamo wangu linatoa picha halisi kuhusu serikali ya Trump katika kushughulikia masuala ya Waislam na nchi za Kiislam.
Je, hii ni hatua ya kwanza katika kuufutilia mbali Uislam nchini Marekani?
Trump,ni mfanyabiashara na kwenye biashara mtu haangalii dini anaangalia faida.. Hata hao waarabu kwa jinsi wanavyowachukia wazungu wangekuwa hawaangali faida hapo wasingekubali awekeze kwenye nchi zao.. Na kingine trump angekuwa anawaogopa au hata tu kuwaheshimu hao waarabu asinge tangaza chuki yake dhidi ya waislamu waziwazi so hivo vitega uchumi huko uarabuni havimzuii yeye kuufuta uislam marekani kama akitaka!Utadanganya wajinga wenzako kama wewe,Trumps ana vitenga uchumi vya mamilion ya U S dollar katika nchi za kiarabu.Vitega uchumi hivyo vinaingizia pesa hicho hizo za kiarabu na kuwa na ajira za kutosha.Na pia ana hisa katika makampuni kadhaa ya nchi za kiislamu.Udanganywa wewe mpumbavu usiyejijuwa.
Walishindwa wakomunisti kule urusi Kwa miaka 70 Aje aufute Trump Kwa miaka 4 ?? Hizo ni siasa tu wapate nafasi waibeTrump,ni mfanyabiashara na kwenye biashara mtu haangalii dini anaangalia faida.. Hata hao waarabu kwa jinsi wanavyowachukia wazungu wangekuwa hawaangali faida hapo wasingekubali awekeze kwenye nchi zao.. Na kingine trump angekuwa anawaogopa au hata tu kuwaheshimu hao waarabu asinge tangaza chuki yake dhidi ya waislamu waziwazi so hivo vitega uchumi huko uarabuni havimzuii yeye kuufuta uislam marekani kama akitaka!
Kama ni siasa tu mnalialia nini sasa.. Mbona mnakuwa hamjiamini! Kila kitu mnahisi mnaonewaWalishindwa wakomunisti kule urusi Kwa miaka 70 Aje aufute Trump Kwa miaka 4 ?? Hizo ni siasa tu wapate nafasi waibe