The seer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 407
- 690
pia ungeelezea kuhusu wakristo wanaochinjwa nchi za kiarabu.Iran saud Arabia.mfano saud Arabia hurusiwi hata kuingia na biblia.tatizo LA waarabu wanataka wao wazambaze dini yao nchi Nyingine lakini hawataki dini zingine zisambae nchini mwao.trump ndio saizi yao.