Ni Africa tu Unaweza Ona Hii

Huyo mama aliyebeba mtoto halafu ameshika ka-Adam Malima mkono wa kulia,kushoto ana magazine amenishtua.Duh!!!!
 
Hapana Mkuu, siungi mkono hoja. Umeishafika India ? ulionaje zile Bajaii au lile jumba ambalo ukijisikia unakaribia kufa uanende kufia hapo.
 
Sijui kama hivi vyuma vimebalance. Lazima mtu avimbe upande
Hivi sio vyuma.........ni vitofa wenyewe wanaita!!

Yani umeiba cement kidogooo.....unachanganya na mchanga kiaina, unaweka nondo kwenye kopo la rangi la kilo tano, unafyatua kitu!!!

Kudadeki!
 
Hivi sio vyuma.........ni vitofa wenyewe wanaita!!

Yani umeiba cement kidogooo.....unachanganya na mchanga kiaina, unaweka nondo kwenye kopo la rangi la kilo tano, unafyatua kitu!!!

Kudadeki!

Your location [under a mango tree] deserves on what u have written!!!:decision:
 
Sio Afrika tu. Hata Asia, south america, australi na maeneo mengine unaweza ona hivyo. Mbona kawaida tu, usiwashushe waafrica.
 
attachment.php


hii ndo imenisikitisha kuliko zote.
 
hao vijana wanaobeba vyuma wangetumia hizo nguvu kulima taifa lingekuwa mbali sana
 
Kushoto kilo 25 kulia kilo 30; ndo mana mabaunsa wengi wa uswahilini hutembea bega moja chini.

Ili kubalance inatakiwa uwe una geuza hicho chuma. Mfano una round nne @10 reps kwa mfano, basi unapiga 10reps za kwanza unageuza upande mwingine na kwenyewe unapiga 10reps unageuza mpaka unaliza hutapata hiyo effect ya kudelop upande mmoja mwingine kuwa chini!

Good improvisation na nimeipenda kwa kweli na ndiyo ambayo imetukuza wengine! Kununua zile original ni ghali sana. Tatizo la hizi za kitaa ni moja tu hizo weights je zinajulikana? Au ndo raia wote kwa uzito tofauti unaweza huwezi lazima ubebe maana huna alternative nyingine!
 
Back
Top Bottom