Ni adhabu ipi iwe mbadala wa viboko kwa wanafunzi watukutu mashuleni?

Sheria ya elimu na corporal punishment regulations ZINATAKA MWANAFUNZI APEWE ADHABU YA VIBOKO VISIVYOZIDI VINNE.

VIBOKO HIVI VITATOLEWA NA MWALIMU MKUU WA SHULE TU, AU NA MWALIMU ATAKAYEPEWA MAMLAKA NA MWALIMU MKUU KUFANYA HIVYO NA SIO VINGINEVYO.

VIBOKO VITATOLEWA ENDAPO TU KUNA UTOVU MKUBWA SANA WA NIDHAMU, SIO MAKOSA MADOGO MADOGO.

VIBOKO VINNE VITAZINGATIA UMRI, AFYA, NA JINSIA YA MWANAFUNZI.

LAKINI PAMOJA NA UWEPO WA SHERIA HII, TUMESHUHUDIA WALIMU WAKIKIUKA UTARATIBU NA KUGEUKA GENGE LA WAHALIFU WANAOWAUWA NA KUWALEMAZA WANAFUNZI MASHULENI.

Ukifika mashuleni unakuta kila mwalimu amekamatia rungu kana kwamba yupo mafunzo ya mgambo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alokuambia mimi mwalimu Nani nyie mnalea watoto wanakunya mezani mnawaacha ndo maana mnatuongezea mashoga amna namna inabidi wachapwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una hasira sana?

Inawezekana ulifanyiwa UKATILI NA MANYANYASO YA KUTISHA ulipokuwa mdogo.

Matatizo yako ya kisaikolojia baki nayo mwenyewe.

Lazima tutengeneze taifa lenye watu wanaoweza kuelewana na kutatua migogoro kwa njia ya maelewano na mazungumzo.

Ukihitaji viboko CHAPA WATOTO WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ya elimu na corporal punishment regulations ZINATAKA MWANAFUNZI APEWE ADHABU YA VIBOKO VISIVYOZIDI VINNE.

VIBOKO HIVI VITATOLEWA NA MWALIMU MKUU WA SHULE TU, AU NA MWALIMU ATAKAYEPEWA MAMLAKA NA MWALIMU MKUU KUFANYA HIVYO NA SIO VINGINEVYO.

VIBOKO VITATOLEWA ENDAPO TU KUNA UTOVU MKUBWA SANA WA NIDHAMU, SIO MAKOSA MADOGO MADOGO.

VIBOKO VINNE VITAZINGATIA UMRI, AFYA, NA JINSIA YA MWANAFUNZI.

LAKINI PAMOJA NA UWEPO WA SHERIA HII, TUMESHUHUDIA WALIMU WAKIKIUKA UTARATIBU NA KUGEUKA GENGE LA WAHALIFU WANAOWAUWA NA KUWALEMAZA WANAFUNZI MASHULENI.

Ukifika mashuleni unakuta kila mwalimu amekamatia rungu kana kwamba yupo mafunzo ya mgambo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaonekana mtoto wako akikosea unamweka mezani unampa mifano na stori zingine za kufikirika za kumfundisha kuwa alivyofanya sio vizuri kwake na kwa jamii na kumalizia na kumpatia glasi ya maziwa ya Nido yenye Forte Grow ili akue kiakili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kudharauliwa na dogo ambaye ukimcheki ni kama mdogo wako wa nne huko au hata mwanao wa kumzaa inauma sana. Sasa kwakuwa huwa mnaandamana na mnakufa mkipigwa, wakati huo huo mkichapwa kikawaida mikononi mnashika fimbo na kuzivunja, bora ijulikane moja, dogo akizingua popote pale, iteni kikao cha walimu, iteni dogo ofisini, rudisheni nyumbani akaje na mzazi. Akifika mzazi mnampa barua ya kumfukuza mwanae, akatafute shule ya kumpeleka. Hivi vyeo mnavyopeana walimu vinawaponza, eti mwalimu wa nidhamu. Hahahaaaa usilewe sifa mwalimu, hicho cheo hakina posho wala safari za kwenda wizarani. Pambana na hali yako mwalimu.
 
Mkuu unaonekana mtoto wako akikosea unamweka mezani unampa mifano na stori zingine za kufikirika za kumfundisha kuwa alivyofanya sio vizuri kwake na kwa jamii na kumalizia na kumpatia glasi ya maziwa ya Nido yenye Forte Grow ili akue kiakili.

Sent using Jamii Forums mobile app
VIBOKO NI ADHABU YA KITUMWA , YA KUDHALILISHA, YA KIKATILI, YA KINYAMA, YA KUFEDHEHESHA NA KUTWEZA UTU.

MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUSHABIKIA VIPIGO NA UKATILI WA KUCHAPWA MIJELEDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona una hasira sana?

Inawezekana ulifanyiwa UKATILI NA MANYANYASO YA KUTISHA ulipokuwa mdogo.

Matatizo yako ya kisaikolojia baki nayo mwenyewe.

Lazima tutengeneze taifa lenye watu wanaoweza kuelewana na kutatua migogoro kwa njia ya maelewano na mazungumzo.

Ukihitaji viboko CHAPA WATOTO WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mtaa wako watoto wangapi umewaona ambao unaweza kujadiliana nao wakakuelewa hisije kuwa unaleta Uzungu ikiwa unakaa tandale maana waswahili kwa kujiupgrade hamjambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kudharauliwa na dogo ambaye ukimcheki ni kama mdogo wako wa nne huko au hata mwanao wa kumzaa inauma sana. Sasa kwakuwa huwa mnaandamana na mnakufa mkipigwa, wakati huo huo mkichapwa kikawaida mikononi mnashika fimbo na kuzivunja, bora ijulikane moja, dogo akizingua popote pale, iteni kikao cha walimu, iteni dogo ofisini, rudisheni nyumbani akaje na mzazi. Akifika mzazi mnampa barua ya kumfukuza mwanae, akatafute shule ya kumpeleka. Hivi vyeo mnavyopeana walimu vinawaponza, eti mwalimu wa nidhamu. Hahahaaaa usilewe sifa mwalimu, hicho cheo hakina posho wala safari za kwenda wizarani. Pambana na hali yako mwalimu.
Kipindi nasoma seminari, sikuwahi kushuhudia kabisa uchapaji wa viboko, lakini tulikuwa na discipline ya hali ya juu kabisa.

Watovu wa nidhamu walipewa adhabu ya kupalilia mashamba, kusafisha mabanda ya nguruwe, kufukuzwa shule na kupewa suspensions.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VIBOKO NI ADHABU YA KITUMWA , YA KUDHALILISHA, YA KIKATILI, YA KINYAMA, YA KUFEDHEHESHA NA KUTWEZA UTU.

MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUSHABIKIA VIPIGO NA UKATILI WA KUCHAPWA MIJELEDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ningekuwa mzazi wako ningehakikisha nakuchapa viboko deile hata ukiwa huna kosa ilimradi uache huo ujinga wako na uwe mkakamavu kiakili, unaogopa adhabu basi usifanye makosa, ila ukiwa unaboronga unakula mijeledi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe bwana akili yako ya king'ombe ng'ombe tu.

Umezoea kupigwa mijeledi ndio maana unaona hiyo ndiyo njia pekee ya kuongoza binadamu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi nawe miongoni mwa ng'ombe maana ng'ombe uelewana na ng'ombe mwenzie uwezo wako wa kuelimisha umeishia hapo wewe ndo mwenye uwezo wa kumfundisha mtoto akakuelewa au Kuna mtu alikua anakuandikia katoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...

kuwe na utaratibu maalum wa kutoa adhabu sio kila mwalimu kujiamulia tu! aina ya adhabu lwa mfano

mwanafunzi akifanya kosa mara ya kwanza aonywe kwa mdomo then akirudia apewe adhabu hta kukata mti au kufanya usafi akiendelea na ukaidi arudishwe nyumbani, fimbo iwe option ya mwisho kbsa tena sizidi sita
Tena mzazi akiwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viboko avina maana yeyote watoto waliolelewa kwa viboko kichwani wanakuwaga zero na maisha uwashinda kabisa ...Mfano mwanafunzi unamwambia afike shulen saamoja kamili kuwa akichelewa zaidi ya hapo apigwe bakora uwo niujinga wakiwango cha PhD

Viboko niujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom