SASA NAULIZA HIVIIII..........Hii hali ya Arusha ikisambaa nchi nzima atakimbilia wapi?katika hali ambayo unaweza kuitafasili kuwa joto la kisia la mjini Arusha dr dr dr kikwete ameingia miti licha yamatangazo ya takiribani wiki 2 na leo asubuhi tulishuhudia magari ya matangazo akizunguka mjini ya kitujuza kuwa kesho atakuwa mjini arusha kwenye ushanja wa sheukh amri abeid lakini mchana huu gari la matangazo linapita na kutujuza atakae kuwepo ni dr Bilal...je ****** kasoma yakati kuwa kwasasa si salama kwake mjini arusha maana vijana wameandaa mabango na bendera za cdm tayari kwa kumkarisha.
Hakuna sababu yoyote ile iliyotolewa kuhusu kutokuja kwake? Ikiwa ni hivyo hali itakuwa ni mbaya sana.katika hali ambayo unaweza kuitafasili kuwa joto la kisia la mjini Arusha dr dr dr kikwete ameingia miti licha yamatangazo ya takiribani wiki 2 na leo asubuhi tulishuhudia magari ya matangazo akizunguka mjini ya kitujuza kuwa kesho atakuwa mjini arusha kwenye ushanja wa sheukh amri abeid lakini mchana huu gari la matangazo linapita na kutujuza atakae kuwepo ni dr Bilal...je ****** kasoma yakati kuwa kwasasa si salama kwake mjini arusha maana vijana wameandaa mabango na bendera za cdm tayari kwa kumkarisha.
Isambae mara ngapi, si unasikia Mbeya mara Dar mara Babati sijui wapi atakwepa hadi lini??????????SASA NAULIZA HIVIIII..........Hii hali ya Arusha ikisambaa nchi nzima atakimbilia wapi?
SASA NAULIZA HIVIIII..........Hii hali ya Arusha ikisambaa nchi nzima atakimbilia wapi?
SASA NAULIZA HIVIIII..........Hii hali ya Arusha ikisambaa nchi nzima atakimbilia wapi?
we unafikiri nae hajui kusoma alama?