Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,860
Kufanikiwa ni kupata / kufikia hitaji la moyo wako. Moyo wako ukiwa unahitaji BMW Na wewe ukapata Toyota Vits Basi hujafanikiwa, utakuwa umefanikiwa pale tu utakapopata BMW.
Ili kuyafikia mafanikio kuna kanuni zake. Huyu ataenda kutambika, huyu ataenda kwa waganga, Yule ataenda kanisani Na mwingine msikitini.
Kwenye ibada zote hizo utatakiwa utoe sadaka. Kuna sadaka za damu (makafara) Na sadaka za amani.
Sadaka Ina nguvu ya kukuunganisha Na madhabahu ya mafanikio yako. Hamna mafanikio yasiyotoka kwenye madhabahu.
Sadaka iliyonona inakufanya uwe Na imani zaidi Na ari zaidi ya kuyafikia mafanikio yako.
Kila unapotoa sadaka yako hakikisha umejitakasa, umeitakasa sadaka yako Na madhabahu yako Na uinenee mafanikio, Na uamini kuwa utafanikiwa.
Bila ya imani hamna mafanikio.
CC
Kyokola, Sky Eclat, Mentor, Guru, mshana jr
Ili kuyafikia mafanikio kuna kanuni zake. Huyu ataenda kutambika, huyu ataenda kwa waganga, Yule ataenda kanisani Na mwingine msikitini.
Kwenye ibada zote hizo utatakiwa utoe sadaka. Kuna sadaka za damu (makafara) Na sadaka za amani.
Sadaka Ina nguvu ya kukuunganisha Na madhabahu ya mafanikio yako. Hamna mafanikio yasiyotoka kwenye madhabahu.
Sadaka iliyonona inakufanya uwe Na imani zaidi Na ari zaidi ya kuyafikia mafanikio yako.
Kila unapotoa sadaka yako hakikisha umejitakasa, umeitakasa sadaka yako Na madhabahu yako Na uinenee mafanikio, Na uamini kuwa utafanikiwa.
Bila ya imani hamna mafanikio.
CC
Kyokola, Sky Eclat, Mentor, Guru, mshana jr