Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Sio kila Mwanaume aliyafanikiwa kimaisha basi Mwanamke yupo nyuma yake. Kuna Wanaume wanapitia kipindi kigumu sana kuyafikia mafanikio na wapo na Wanawake zao
Unakuta Mwanamke huna muda na huyo Mwanaume wake wa kumfariji na kumtia moyo. Kutwa kucha kumsimamga, kumsema vibaya eti masikini na inafikia hatua Mwanamke huyo anakukimbia hata kama umezaa nae watoto kisa tu hujafanikiwa kimaendeleo
Sasa kwa muktadha huu wa kusimangwa na Mwanamke wako kisa huna hela siku ukizipata utasema mafanikio yako yapo nyuma ya huyo Mwanamke wakati kila siku alikua anakupa stress tu kwa gubu, kejeli na masimango mengine
Utasema mafanikio yako yapo nyuma ya Mwanamke wako endapo alikua pamoja na wewe katika magumu uliyokua unapitia Yani anakufariji, kukutia Moyo, kama huna kazi nae ana kazi basi anakupa mtaji hata kwa kukukopesha
Hapa ukifanikiwa utasema kabisa mafanikio haya yamechangiwa na Moyo wa huruma na upendo wa mke wangu
Ila sio Hawa wanawake wa siku hizi ni mabingwa wa kuturudisha nyuma kimaendeleo na wengi hawapo pamoja nasi katika kuyatafuta maendeleo
Bora ukosee kujenga ,kuliko kukosea kuoa utapata tabu Sana
Unakuta Mwanamke huna muda na huyo Mwanaume wake wa kumfariji na kumtia moyo. Kutwa kucha kumsimamga, kumsema vibaya eti masikini na inafikia hatua Mwanamke huyo anakukimbia hata kama umezaa nae watoto kisa tu hujafanikiwa kimaendeleo
Sasa kwa muktadha huu wa kusimangwa na Mwanamke wako kisa huna hela siku ukizipata utasema mafanikio yako yapo nyuma ya huyo Mwanamke wakati kila siku alikua anakupa stress tu kwa gubu, kejeli na masimango mengine
Utasema mafanikio yako yapo nyuma ya Mwanamke wako endapo alikua pamoja na wewe katika magumu uliyokua unapitia Yani anakufariji, kukutia Moyo, kama huna kazi nae ana kazi basi anakupa mtaji hata kwa kukukopesha
Hapa ukifanikiwa utasema kabisa mafanikio haya yamechangiwa na Moyo wa huruma na upendo wa mke wangu
Ila sio Hawa wanawake wa siku hizi ni mabingwa wa kuturudisha nyuma kimaendeleo na wengi hawapo pamoja nasi katika kuyatafuta maendeleo
Bora ukosee kujenga ,kuliko kukosea kuoa utapata tabu Sana