stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,386
- 3,496
mngekua mnalilia katika kwa ajili ya wananchi nadhan hata wananchi wangewasupport, tunajua kabisa mnataka katiba ya kuwaingiza madarakani ndo maaana mnakua empty mda wa kuongea na wananchi zaidi ya kufoka kwa sauti kubwa kama lema na mbowe
- whats even worse mkipewa ushauri hamtaki