Unaroho ya paka aisee....!Tatizo la chadema sasahivi hawana sera tofauti enzi za kina wilbrod slaa sasahivi sera ni kumkashfu hayati Magufuli kulalamika Luis kapigwa risasi wanaonewa na serikali wapate huruma za wananchi
Wana saccos wa Ufipa kwa ushabiki hamjambo.Toka lini ccm mkaitakia mema CHADEMA???
Kwanza kuedelea kumtaja Dk Slaa na CHADEMA ni kuonyesha namna mlivyozoea kufanya siasa nyepesi!
Dk Slaa hata angekuwemo ndani ya CHADEMA mpaka leo kwa style ya utawala wa mwendazake katika hiki kipindi cha miaka 5 wala asingewezafanya lolote, zaidi angeishia kutekwa au kushambuliwa kwa risasi 32 !
Tumeshuhudia viongozi wa upinzani wakizuiwa kufaya mikutano, na hata wale waliofannikiwa kuvuka vikwazo lukuki na kujaribu kuhutubia walishushwa majukwaani katika namna iliyojaa udhalilishaji mkubwa!
Ilifika mahala DC anavamia hadi kikao cha ndani na kukaa kusikiliza kinachajadiliwa ilihali sio mjumbe wa kikao hicho a wala hakualikwa!
Pia unapaswa kutambua kuwa CHADEMA haifanyagi biashara ya kununua watu na kuwaweka mitandaoni wakatukane makda au viongozi wa vyama vingine. kwa hao mliowaandaa humo mitandaoni acha waendelee kufanya kazi mliowatuma, CHADEMA wanajenga chama!