Mpasuko CHADEMA ujio wa Dkt. Slaa, viongozi wagawanyika

Billal Saadat

Senior Member
Nov 30, 2022
169
356
Mbowe na Dkt Slaa wakikuhaidi njia inaelekea kulia lower your expectations na ukate kushoto. Wengi waliwahi kuwaamini kuwa wanaweza kuleta miujiza kwenye nchi yetu na tulishuhudia ni unafiki na usaliti wa hali ya juu.

Walisimama Mwembeyanga na list of shame mwaka 2007 wale waliowaita mafisadi kwa miaka 8 wakawapa nafasi ya kugombea Urais. Mbowe akaapiza over his dead body hawezi kumkataa yule waliyemuita fisadi kwa sababu ya Dkt. Slaa amemgomea (๐ฃ๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ž ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ข๐ง๐ข? ๐€๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ค๐ž๐š ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š)

Unajiuliza kwa haraka Mbowe na Dkt. Slaa walikaa lini kuondoa tofauti zao ni Dkt. Slaa aliyemuita Mbowe ni Gaidi, Ni Dkt Slaa alikiri mbele ya hadhara Chadema kuna vikundi vya utekaji na ana uhakika kuwa kuna uwezekano aliyemshambulia Lissu kwa Risasi ni Chadema. (๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข ๐ณ๐ข๐ฅ๐ž๐ณ๐ข๐ฅ๐ž ๐ƒ๐ค๐ญ. ๐’๐ฅ๐š๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ฅ๐ž๐ญ๐š ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐ญ๐ข ๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ฎ)

Tujiulize vile vikundi vya utekaji alivyovieleza Dkt. Slaa nani ameviondoa? Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu ila wanasiasa ni wanadamu sababu Dkt Slaa anafanya mazungumzo na Mbowe kipindi ambacho Lissu hayupo? Huu ni mpasuko mkubwa.

Mbowe haioni sign ya chama kukataliwa na wananchi Temeke wamekataa kulishwa uongo mchana wa wazi anapokwenda kumpokea Dkt. Slaa ni kujichimbia kaburi la siasa zao ni rahisi kwa Wananchi kumsamehe mpinzani aliyekwenda chama tawala na ngumu sana kwa Wananchi kumpokea mpinzani aliyetoka chama tawala kurudi upinzani. (๐–๐š๐ฌ๐š๐ฅ๐ข๐ญ๐ข ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ฉ๐ž๐ง๐๐ฐ๐ข ๐๐š๐ข๐ฆ๐š)

Rekodi zipo wazi kabisa, Wananchi wa Tanzania wanampenda shetani wanayemjua kuliko malaika wasiyemuona. kuanguka kisiasa kwa wapinzani waliokwenda chama tawala na kurudi chama pinzani ni kikubwa kuliko mpinzani aliyekwenda chama tawala.

Ni kambi mbili sasa ndani ya CHADEMA imani ya Lissu na Imani ya Mwenyekiti Mbowe, Jahazi limechanika tanga na bahari imechafuka. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar akiongea ni vipande vipande.

๐๐ข๐ฆ๐ž๐ค๐š๐š ๐ฉ๐š๐ฅ๐ž...!!!

IMG_8301.jpg

48ac5a75-6aa9-4abb-8cfe-96671191eb18.jpg
 
CCM Kuna madudu.
CHADEMA pia kuna wahuni.
hakuna nafuu
watu wote wanawaza upigaji na kunufaisha matumbo yao
 
Ila Dr. Slaa alituumiza wengi sana.
Afadhali angechagua kuwa kimya kipindi kile anakula mema ya nchi, wakanyang'anya akili, na baada ya kunyang'anywa akili akaingoa front kuanza kashfa
 
Kwa ufupi sana;
Nakukumbusha tu Lowasa alitokea utawalani ndugu mleta uzi. Na 2015 watu walimpenda kweli kweli
 
Wanasiasa wapo pale kwa manufaa yao binafsi. CHADEMA wakiona Dr. Slaa anawafaa kimaslahi, acha wamchukue. Kama hawana maslahi naye waachane naye. Hizo nyingine ni siasa umeandika.
 
Mbowe na Dkt Slaa wakikuhaidi njia inaelekea kulia lower your expectations na ukate kushoto. Wengi waliwahi kuwaamini kuwa wanaweza kuleta miujiza kwenye nchi yetu na tulishuhudia ni unafiki na usaliti wa hali ya juu.

Walisimama Mwembeyanga na list of shame mwaka 2007 wale waliowaita mafisadi kwa miaka 8 wakawapa nafasi ya kugombea Urais. Mbowe akaapiza over his dead body hawezi kumkataa yule waliyemuita fisadi kwa sababu ya Dkt. Slaa amemgomea (๐ฃ๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ž ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ข๐ง๐ข? ๐€๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ค๐ž๐š ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š)

Unajiuliza kwa haraka Mbowe na Dkt. Slaa walikaa lini kuondoa tofauti zao ni Dkt. Slaa aliyemuita Mbowe ni Gaidi, Ni Dkt Slaa alikiri mbele ya hadhara Chadema kuna vikundi vya utekaji na ana uhakika kuwa kuna uwezekano aliyemshambulia Lissu kwa Risasi ni Chadema. (๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข ๐ณ๐ข๐ฅ๐ž๐ณ๐ข๐ฅ๐ž ๐ƒ๐ค๐ญ. ๐’๐ฅ๐š๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ฅ๐ž๐ญ๐š ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐ญ๐ข ๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ฎ)

Tujiulize vile vikundi vya utekaji alivyovieleza Dkt. Slaa nani ameviondoa? Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu ila wanasiasa ni wanadamu sababu Dkt Slaa anafanya mazungumzo na Mbowe kipindi ambacho Lissu hayupo? Huu ni mpasuko mkubwa.

Mbowe haioni sign ya chama kukataliwa na wananchi Temeke wamekataa kulishwa uongo mchana wa wazi anapokwenda kumpokea Dkt. Slaa ni kujichimbia kaburi la siasa zao ni rahisi kwa Wananchi kumsamehe mpinzani aliyekwenda chama tawala na ngumu sana kwa Wananchi kumpokea mpinzani aliyetoka chama tawala kurudi upinzani. (๐–๐š๐ฌ๐š๐ฅ๐ข๐ญ๐ข ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ฉ๐ž๐ง๐๐ฐ๐ข ๐๐š๐ข๐ฆ๐š)

Rekodi zipo wazi kabisa, Wananchi wa Tanzania wanampenda shetani wanayemjua kuliko malaika wasiyemuona. kuanguka kisiasa kwa wapinzani waliokwenda chama tawala na kurudi chama pinzani ni kikubwa kuliko mpinzani aliyekwenda chama tawala.

Ni kambi mbili sasa ndani ya CHADEMA imani ya Lissu na Imani ya Mwenyekiti Mbowe, Jahazi limechanika tanga na bahari imechafuka. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar akiongea ni vipande vipande.

๐๐ข๐ฆ๐ž๐ค๐š๐š ๐ฉ๐š๐ฅ๐ž...!!!

View attachment 2698788
View attachment 2698789

Hili nimeliona si kawaida ya Temeke kuwa vile kuna jambo kubwa linaendelea.
 
Mbowe na Dkt Slaa wakikuhaidi njia inaelekea kulia lower your expectations na ukate kushoto. Wengi waliwahi kuwaamini kuwa wanaweza kuleta miujiza kwenye nchi yetu na tulishuhudia ni unafiki na usaliti wa hali ya juu.

Walisimama Mwembeyanga na list of shame mwaka 2007 wale waliowaita mafisadi kwa miaka 8 wakawapa nafasi ya kugombea Urais. Mbowe akaapiza over his dead body hawezi kumkataa yule waliyemuita fisadi kwa sababu ya Dkt. Slaa amemgomea (๐ฃ๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ž ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ข๐ง๐ข? ๐€๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ค๐ž๐š ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š)

Unajiuliza kwa haraka Mbowe na Dkt. Slaa walikaa lini kuondoa tofauti zao ni Dkt. Slaa aliyemuita Mbowe ni Gaidi, Ni Dkt Slaa alikiri mbele ya hadhara Chadema kuna vikundi vya utekaji na ana uhakika kuwa kuna uwezekano aliyemshambulia Lissu kwa Risasi ni Chadema. (๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข ๐ณ๐ข๐ฅ๐ž๐ณ๐ข๐ฅ๐ž ๐ƒ๐ค๐ญ. ๐’๐ฅ๐š๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ฅ๐ž๐ญ๐š ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐ญ๐ข ๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ฎ)

Tujiulize vile vikundi vya utekaji alivyovieleza Dkt. Slaa nani ameviondoa? Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu ila wanasiasa ni wanadamu sababu Dkt Slaa anafanya mazungumzo na Mbowe kipindi ambacho Lissu hayupo? Huu ni mpasuko mkubwa.

Mbowe haioni sign ya chama kukataliwa na wananchi Temeke wamekataa kulishwa uongo mchana wa wazi anapokwenda kumpokea Dkt. Slaa ni kujichimbia kaburi la siasa zao ni rahisi kwa Wananchi kumsamehe mpinzani aliyekwenda chama tawala na ngumu sana kwa Wananchi kumpokea mpinzani aliyetoka chama tawala kurudi upinzani. (๐–๐š๐ฌ๐š๐ฅ๐ข๐ญ๐ข ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ฉ๐ž๐ง๐๐ฐ๐ข ๐๐š๐ข๐ฆ๐š)

Rekodi zipo wazi kabisa, Wananchi wa Tanzania wanampenda shetani wanayemjua kuliko malaika wasiyemuona. kuanguka kisiasa kwa wapinzani waliokwenda chama tawala na kurudi chama pinzani ni kikubwa kuliko mpinzani aliyekwenda chama tawala.

Ni kambi mbili sasa ndani ya CHADEMA imani ya Lissu na Imani ya Mwenyekiti Mbowe, Jahazi limechanika tanga na bahari imechafuka. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar akiongea ni vipande vipande.

๐๐ข๐ฆ๐ž๐ค๐š๐š ๐ฉ๐š๐ฅ๐ž...!!!

View attachment 2698788
View attachment 2698789
Wellcome Dr. yaan akitangazwa tyu siku hiyo hiyo narudi Chadema!
 
Back
Top Bottom