Ng'ombe wanaswagwa toka Bara mpaka Pugu machinjioni...umbali issue basi?
Serikali ilishakataza hilo kwa ajili ya uaribifu wa barabara na hata mazingira kwa ujumla, ajali za mara kwa mara mfaano 'morogoro road' walikuwa wakigongwa sana au kusababisha ajali tena wakati huo magari yakiwa machache sijui kwa sasa ingekuwaje maana maeneo mengi wakati huo yalikuwa ni mbuga lakini kwa sasa hakuna eneo ambali lipo karibu na machinjio halina makazi ya watu ambayo inapelekea kuleta mtafaruku na wakazi ikiwa watapitishwa kwenye makazi yao.Ng'ombe wanaswagwa toka Bara mpaka Pugu machinjioni...umbali issue basi?
Ng'ombe wanaswagwa toka Bara mpaka Pugu machinjioni...umbali issue basi?