Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Utatulia tu ila mi natazaliwa mtu vivi hivi afu ntakuwa nakupanda mara zote kila nkipata safari hata usiku wa manane.Afterlife nikizaliwa farasi sijui ntafanyaje?
Bora uzaliwe farasi dume aisee, jike ni sooAfterlife nikizaliwa farasi sijui ntafanyaje?
utapandiwa kinoma noma.Afterlife nikizaliwa farasi sijui ntafanyaje?
Afterlife huwezi zaliwa tena,bali utafufuliwa na kupelekwa kwenye mahakama ya enzi.Afterlife nikizaliwa farasi sijui ntafanyaje?
utapandiwa kinoma noma.
kupandiwa mgongoni kifarasi farasiFafanua,hapo kwenye neno 'KUPANDIWA'unamaanisha kupandiwa ipi?
akiwa jike atapandiwa dabo dabo.Bora uzaliwe farasi dume aisee, jike ni soo
hahahahaaaaa nimeishia kucheka tu
Kuna wanyama wameumbwa na kitu inaitwa "utii", farasi na punda ni aina ya jamii hiyo ndio maana wanafundishika.