kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
Afterlife nikizaliwa farasi sijui ntafanyaje?
Nitakubadilisha na bata nikukule wakati wa sikukuu
Afterlife nikizaliwa farasi sijui ntafanyaje?
Afterlife nikizaliwa farasi sijui ntafanyaje?
Kuna wanyama wameumbwa na kitu inaitwa "utii", farasi na punda ni aina ya jamii hiyo ndio maana wanafundishika.
Anaogopa kuvunja amani. Tumezoelea mwenye kudai haki kubatizwa mvunjifu wa amani. Amani kwetu ni kuwa kama alivyo huyo farasi.Kipi bora?? Uwe na nguvu nyingi akili kidogo au akili nyingi nguvu kidogo??
![]()
akiwa jike atapandiwa dabo dabo.
ndio lakini dabo dabo ya mgongoni kama farasi original na ile inginehuna maana atapandiwa libolo fc