Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,344
Kwa tunaomfahamu Hawa Abdulrahman Ghasia hatushangai!
Hawa hajawahi kupelekeshwa
Kwenye anachoamini iwe sahihi au laa ana ujasiri wa kussimamia!
Namfananisha Sana Na Hayati Bibi Titi Mohamed
Kuna Timbwili Moja liliibuka Mzumbe University Miaka ya Nyuma wengi wetu tulishangaa ujasiri wa Binti Yule wa Kimakonde
Hawa amesoma Mzumbe au SUA?