Nguvu kutoka juu inawasambaratisha wenyeviti wa kamati za bunge. Bunge sasa ni joka la kibisa

Kwa tunaomfahamu Hawa Abdulrahman Ghasia hatushangai!

Hawa hajawahi kupelekeshwa

Kwenye anachoamini iwe sahihi au laa ana ujasiri wa kussimamia!

Namfananisha Sana Na Hayati Bibi Titi Mohamed

Kuna Timbwili Moja liliibuka Mzumbe University Miaka ya Nyuma wengi wetu tulishangaa ujasiri wa Binti Yule wa Kimakonde

Hawa amesoma Mzumbe au SUA?
 
Sasa hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kajiuzulu ina uhusiano gani Na Serikal?

Bibi Titi Mohamed ndio Mwanamke pekee wa enzi hizo alikuwa Na uwezo wa kumwambia Mwl Nyerere hapo umekosea Mwalimu!

Kuna Siku aliwahi kusema kwenye Kikao Kuwa Yeye anamuogopa Mungu Pekee akalazimishwa kuomba Radhi Kwa Kauli hiyo akakataa akasema yupo tayari Kwa lolote

Hawa anafanana Sana Na Bibi Titi japo wana utofauti kidogo

Usimfananishe Bibi titi (Allah amrehemu) na vitu vya kijinga!
 
Hiyo ndio tafsiri ya siasa

Unaibua matatizo ya jamii halafu unajifanya unauchungu sana kumbe ndio unayaongeza

Niwape pole tu wanaopokea na kuzishangilia ngonjera za utawala huu

Hakika nawaambieni bila matatizo ya jamii hakuna ajira ya siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa hafanani na Bibi Titi hats kidigo. Amejiuzulu Kwa shinikizo la Magic I ko
Sasa hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kajiuzulu ina uhusiano gani Na Serikal?

Bibi Titi Mohamed ndio Mwanamke pekee wa enzi hizo alikuwa Na uwezo wa kumwambia Mwl Nyerere hapo umekosea Mwalimu!

Kuna Siku aliwahi kusema kwenye Kikao Kuwa Yeye anamuogopa Mungu Pekee akalazimishwa kuomba Radhi Kwa Kauli hiyo akakataa akasema yupo tayari Kwa lolote

Hawa anafanana Sana Na Bibi Titi japo wana utofauti kidogo
 
Sasa hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kajiuzulu ina uhusiano gani Na Serikal?

Bibi Titi Mohamed ndio Mwanamke pekee wa enzi hizo alikuwa Na uwezo wa kumwambia Mwl Nyerere hapo umekosea Mwalimu!

Kuna Siku aliwahi kusema kwenye Kikao Kuwa Yeye anamuogopa Mungu Pekee akalazimishwa kuomba Radhi Kwa Kauli hiyo akakataa akasema yupo tayari Kwa lolote

Hawa anafanana Sana Na Bibi Titi japo wana utofauti kidogo
Kuna kitabu kinachomuelezea Bibi Titi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hawa waliopo wanadhani watakuwa madarakani hadi lini ?
Muda wao ukiisha - 2025 au 2035 mnaweza kuendelea na mambo yenu ya lojolojo! Ila kwa sasa, pisheni mwenye nguvu apite. Tanzania kwa sasa hakuna tena muda wa blah blah.
 
Muda wao ukiisha - 2025 au 2035 naweza kuendele na mambo yenu ya lojolojo! Ila kwa sasa, pisheni mwenye nguvu apite. Tanzania kwa sasa hakuna tena muda wa blah blah.
ni kweli huu muda ni wa njaa tu na kulimia meno
 
Siyo siri tena kwamba bunge sasa limekandamizwa na nguvu toka juu.

Ukiniuliza sababu za kujiuzulu kwa mwenyekiti (Hawa Ghasia) na makamu wake ktk kamati ya bajeti jawabu litakuwa ni rahisi tu...
"Sakata la Korosho".

Kama mtakumbuka sakata hili lilipelekea nguvu toka juu kutishia kuwatwanga mashangazi wa kusini.

Sasa nguvu kutoka juu imeamua kumsukuma nje kinara wa sakata hili Hawa Ghasia. Na bado haitaishia hapo. Nimetonywa kwamba kila aliye lishadadia sakata hili nguvu kutoka juu itamshughulikia 2020.

Siyo mara ya kwanza kwa nguvu toka juu kuwafyeka wenyeviti wa kamati za bunge. Bado tunawakumbuka Dr Kafumu (mwenyekiti) na makamu wake Vicky Kamata amabao wallikwaza nguvu toka juu kwa kupanga mpango wa kumtembelea mbunge mwenzao G. Lema akiwa gerezani Kisongo.

Nguvu kutoka juu imelikamata bunge kweli kweli .
Mmmmhh
 
Siyo siri tena kwamba bunge sasa limekandamizwa na nguvu toka juu.

Ukiniuliza sababu za kujiuzulu kwa mwenyekiti (Hawa Ghasia) na makamu wake ktk kamati ya bajeti jawabu litakuwa ni rahisi tu...
"Sakata la Korosho".

Kama mtakumbuka sakata hili lilipelekea nguvu toka juu kutishia kuwatwanga mashangazi wa kusini.

Sasa nguvu kutoka juu imeamua kumsukuma nje kinara wa sakata hili Hawa Ghasia. Na bado haitaishia hapo. Nimetonywa kwamba kila aliye lishadadia sakata hili nguvu kutoka juu itamshughulikia 2020.

Siyo mara ya kwanza kwa nguvu toka juu kuwafyeka wenyeviti wa kamati za bunge. Bado tunawakumbuka Dr Kafumu (mwenyekiti) na makamu wake Vicky Kamata amabao wallikwaza nguvu toka juu kwa kupanga mpango wa kumtembelea mbunge mwenzao G. Lema akiwa gerezani Kisongo.

Nguvu kutoka juu imelikamata bunge kweli kweli .
hahahahahaa nguvu kutoka juu,wapi huko mkuu,mbinguni au ikulu,kama ni ikulu tuiite nguvu kutoka magogoni,hata hvy ktk serikali hii hakuna aliye salama,rafiki ya jiwe ni yule atakayemsifia tena kwa kumtaja majina yote matatu kabla na baada ya hotuba yake popote atakapokuwa,ni kama sala kabla ya kula umtaje Jiwe na baada ya kula umtaje Jiwe,hii namba itasomwa sana walioko ndani na walio nje
 
Shughuli ipo, DU................... Sasa in kuwa.............

Sent from my Infinix-X551 using Tapatalk
 
Spika ni tatizo kubwa pia.

Sio siri kuwa SPIKA Ndugai afya yake ina mgogoro hivyo ni lazima afuate matakwa ya Jiwe ama sivyo hatapata msaada wa kwenda India kupata matibabu!!! Tundu mpaka hivi leo bunge limekataa kulipia matibabu yake ingawa ni haki yake unadhani kwasababu gani? NDUGAI SIO SITTA WALA MAKINDA!!! ANAPELEKESHWA TU.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom