- Thread starter
- #41
Wameikwaza nguvu ...toka juuSio kwamba wamejiuzulu kwa "utashi wao".
Wameikwaza nguvu ...toka juuSio kwamba wamejiuzulu kwa "utashi wao".
AiseeKuchangia mada kama hizi siku hizi kunahitaji TAHADHARI KUBWA
Jr
Usishangae akajiuzulu maana yule nae ana hasira za karibu sanaJe Majaliwa atapona ?
Arsenal tunacheza lini tena mkuuKuchangia mada kama hizi siku hizi kunahitaji TAHADHARI KUBWA
Jr
Tatizo anang'ata na kupuliza kama lile sakata la mh.mayalla aliliiongelea kama masihaelra kumbe baadae kalipeleka kwa kamati ya maadili hadi jamaa akaitwaSpika ni tatizo kubwa pia.
Hiyo siku kufika utakua ushasota balaa,na unaweza usiushuhudie mwisho wa udhalimu huu milele,labda uchukue hatua sasa ili wajukuu na vitukuu wako wasikute haya madudu yaliyopo nchini mwetu.Mkuu wala usikonde , kila anayeshiriki dhuluma siku yake inakuja .
Huyo makamu hakufanya kazi yake ipasavyo ya kumshauri mwenyekiti wake (Hawa Ghasia) asiendelee na msimamo wake.Acha ramli chonganishi,kwani huyo makamu nae anatoka kusini?
Mpaka wakichoka, kama yule Mzee Robati.Hivi hawa waliopo wanadhani watakuwa madarakani hadi lini ?
Bibi titi ni mpango mkakati wa nyerere! Acheni kudanganya watu. Bosheni fiksi ionekane nyerere anapingwa!!!Sasa hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kajiuzulu ina uhusiano gani Na Serikal?
Bibi Titi Mohamed ndio Mwanamke pekee wa enzi hizo alikuwa Na uwezo wa kumwambia Mwl Nyerere hapo umekosea Mwalimu!
Kuna Siku aliwahi kusema kwenye Kikao Kuwa Yeye anamuogopa Mungu Pekee akalazimishwa kuomba Radhi Kwa Kauli hiyo akakataa akasema yupo tayari Kwa lolote
Hawa anafanana Sana Na Bibi Titi japo wana utofauti kidogo
Vipi umeshamaliza ibada?
Tumuulize hili swali magufuli moja kwa moja.Hivi hawa waliopo wanadhani watakuwa madarakani hadi lini ?
Hatari...Kuchangia mada kama hizi siku hizi kunahitaji TAHADHARI KUBWA
Jr