Nguruwe pita sina mkuki mie!

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Habari zenu wana JF, Nimekuja naomba mnisaidie maana ya msemo ufuatao: Kuna sehemu nilikuwa nikipita mama mmoja alikuwa anapenda kuniimbia wimbo huu Nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu sijakuzaa mie, Naombeni ufafanuzi maneno haya yana maana gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom