Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Haya, turudi kwenye topic, vipi, hawa wanapatikana huko ulipo???Wacha weee Unautafuta sana wapi na kwenye Nini? MAneno ya Mungu na ya Malaika wafuata yepi? na huyo Paulo kazi yake ilikuwa ni kuandika walaka yaani Barua story zake msichanganye na Nabii Musa kwenye Torati hata Yesu alisema hakuja kuitengua kama vipi katafute kitabu cha Barnaba yule Mwizi alieachiwa huru ili yesu asulubiwe kitabu chake kiliondolewa kwenye orodha ya vitabu vya biblia
au wazee wa Vitalu wameshawachakachua wameisha??
Pemba wapo hawa??
Nyara ya taifa hii!!!