Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 304
- 1,050
Habari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.