Nguo za SendOff kwa Wadada.

Nguo za SendOff kwa Wadada.

Akili Pesa

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
617
Reaction score
854
Wadau habar za usku.?
Ndg zang tuwasaidie wadada kutupia picha mbalimbali za magauni mazuri ya sendoff rangi mbalimbali maana kiukweli wanateseka sana kuhangaika mjini kutafuta maguni au vitambaa vya kushona magauni ya sendoff.
Yupo mdada ameshindwa kupata gauni lake LA sendoff wiki ya pili hii anazunguka mjini kabakisha wiki tatu sendoff yke asaidiwe lkn pia mwingne kesho anataka atembee maduka yote mjini atafute gauni au kitambaa kwahyo tuwasaidie wasipate pressure buree hpa.
Comment kwa picha ya gauni la sendoff au Kitambaa Konki kwaajili ya Sendoff.
Naamini yupo atakayeshukuru hii post wallah tena wanasumbuka hawa watu acha tu. [emoji23]
 
Wadau habar za usku.?
Ndg zang tuwasaidie wadada kutupia picha mbalimbali za magauni mazuri ya sendoff rangi mbalimbali maana kiukweli wanateseka sana kuhangaika mjini kutafuta maguni au vitambaa vya kushona magauni ya sendoff.
Yupo mdada ameshindwa kupata gauni lake LA sendoff wiki ya pili hii anazunguka mjini kabakisha wiki tatu sendoff yke asaidiwe lkn pia mwingne kesho anataka atembee maduka yote mjini atafute gauni au kitambaa kwahyo tuwasaidie wasipate pressure buree hpa.
Comment kwa picha ya gauni la sendoff au Kitambaa Konki kwaajili ya Sendoff.
Naamini yupo atakayeshukuru hii post wallah tena wanasumbuka hawa watu acha tu. [emoji23]
Kwa niaba ya mkeo mtarajiwa[emoji119]
 
Hatuwezi kuacha kuhangaika kwasababu kila mtu kwenye siku yake hiyo anataka "u-yuniki" au exceptional kiasi kwamba wengine badala ya kuvutia wana nyata wanakuwa kama wamevaa parachuti😂 "kuchamba kwingi" huko...me sina picha ila labda nisahuri tuu tusihahe sana jomonii rangi ni zile zile,muhimu ni kujua unataka nini ili upendeze kutokana na jinsi ulivyo...
 
20190517_235030.png
20190517_234925.png
 
Wanawake wanateseka Sana na ujinga tu.
Kipindi naoa tulizunguka miji yote kisa sare tu.
Mwisho nikamuambia "sitaki Tena ujinga"
Chagua utakachoona kinakufaa usinihusishe.
Niambie nilipe.!!
Alihangaika kila Leo mwisho akaishia kukodi tu.!!
Yaani huwa hawajielewi wanataka Nini!!
 
Yani kama ulikuwepo vile mulemule unajua kuna party moja nilienda ikabid nishauri washkaj wanaoshut video nkawaambia wasimtoe sana bibi harus maana alikuwa amevuruga knoma
Hatuwezi kuacha kuhangaika kwasababu kila mtu kwenye siku yake hiyo anataka "u-yuniki" au exceptional kiasi kwamba wengine badala ya kuvutia wana nyata wanakuwa kama wamevaa parachuti[emoji23] "kuchamba kwingi" huko...me sina picha ila labda nisahuri tuu tusihahe sana jomonii rangi ni zile zile,muhimu ni kujua unataka nini ili upendeze kutokana na jinsi ulivyo...
 
Hatuwezi kuacha kuhangaika kwasababu kila mtu kwenye siku yake hiyo anataka "u-yuniki" au exceptional kiasi kwamba wengine badala ya kuvutia wana nyata wanakuwa kama wamevaa parachuti[emoji23] "kuchamba kwingi" huko...me sina picha ila labda nisahuri tuu tusihahe sana jomonii rangi ni zile zile,muhimu ni kujua unataka nini ili upendeze kutokana na jinsi ulivyo...
Tupia ile picha ya send off yako[emoji12]
 
😆😀😀😁😂🤣👠💄💍💍💍💎
 
Kuna yule mdada muuza unga mashuhuri hapa Bongo (Shamimu Mwasha) yeye ndiye anajuwa fashion nzuri nzuri za sendoffs. Ngoja atoke jela aje kutewekea.
 
Back
Top Bottom