Ngozi nyeusi tuna matatizo sana

Ngozi nyeusi tuna matatizo sana

nipe dada yako atakupa majibu mazuri
Mkuu JF huwa hatujibu kwa jazba au Muhemuko kwa kuwa tupo kwa kuelimishana kushauriana au kupeana uzoefu.. Sasa Jazba mara nyingi kwa tukio kama lako ndilo lilopelekea maneno uliyoyasema yafike ulikotaka yafike. Kwa kifupi Umbea/Uongo kwa wengine wanavyosema ni Ukweli uliosemwa kwa mtu asiyehusika na hatimaye ujumbe wa yaliyosemwa kumfikia aliyelengwa. Sasa Wewe uliyekuwa unampa habari zako kwanza zilikuwa habari za Ukweli lakini kwa kuwa Ulikuwa ungea Umbea na Uongo kwa Asiyehusika hatimaye maneno yako yamemfikia Mlengwa ndiyo maana umesutwa....

Duniani kuna watu wawili wa kuwaogopa Milele... Mtu Muongo na Mtu Mlozi.. Sasa wewe Kwa uongo wako ndiyo maana unaanza kuhamisha hasira kwa wasio husika.

Jibu tena wewe ni Ke au Me
 
kiukweli hamna watu wambea na wanafiki duniani kama watanzania, always be careful to choose a person to share information with, aisee sijaamini nagombanishwa na mtu ambae sikutegemea kabisa katika maisha yangu.Huyu bwege nikikutana nae naomba nisiwe na shetani kwa hizi hasira nilizonazo.



USHAURI: Kuwa makini katika kuchagua watu wa kushea nao story zako
Kweli ngozi nyeupe noma hata wewe umekwisha share umbea huo kuwa mmegombana na mtu
 
Mkuu JF huwa hatujibu kwa jazba au Muhemuko kwa kuwa tupo kwa kuelimishana kushauriana au kupeana uzoefu.. Sasa Jazba mara nyingi kwa tukio kama lako ndilo lilopelekea maneno uliyoyasema yafike ulikotaka yafike. Kwa kifupi Umbea/Uongo kwa wengine wanavyosema ni Ukweli uliosemwa kwa mtu asiyehusika na hatimaye ujumbe wa yaliyosemwa kumfikia aliyelengwa. Sasa Wewe uliyekuwa unampa habari zako kwanza zilikuwa habari za Ukweli lakini kwa kuwa Ulikuwa ungea Umbea na Uongo kwa Asiyehusika hatimaye maneno yako yamemfikia Mlengwa ndiyo maana umesutwa....

Duniani kuna watu wawili wa kuwaogopa Milele... Mtu Muongo na Mtu Mlozi.. Sasa wewe Kwa uongo wako ndiyo maana unaanza kuhamisha hasira kwa wasio husika.

Jibu tena wewe ni Ke au Me

ni mtu wa karibu sana ni mshikaji kitambo, tunashea vitu vingi "kiume" yeye kaleta ukike kiasi cha kutaka kuharibu uhusiano wangu na watu nyeti sana.

kama hujaelewa jinsia yangu mpaka sasahivi basi hakiki ya kwako kwanza
 
Kweli ngozi nyeupe noma hata wewe umekwisha share umbea huo kuwa mmegombana na mtu
kama hiyo story ni simu nilichokishea ni 'screen protector" tu hata wewe hakuna unachoelewa hapo
 
Kuna msemo unasema 'hakuna siri ya watu wawili'...jua fika ukishasema kitu(siri yako) kwa mtu umetoa nafasi ya siri hiyo kufahamika na wengine.






Siku nyingine ujifunze... Halafu uache akili za kushikiwa kuwa ngozi nyeusi pekee ndo wenye tabia hiyo kana kwamba hao weupe hawana wambea.
 
Kuna msemo unasema 'hakuna siri ya watu wawili'...jua fika ukishasema kitu(siri yako) kwa mtu umetoa nafasi ya siri hiyo kufahamika na wengine.






Siku nyingine ujifunze... Halafu uache akili za kushikiwa kuwa ngozi nyeusi pekee ndo wenye tabia hiyo kana kwamba hao weupe hawana wambea.
haikua critical secret kihivo, ila huyu jamaa kawaambia watu na ka exagerrate story
 
Wazungu pia au wenye ngozi yoyote ile tofauti hawako perfect kwenye lolote lile na wao wana matatizo hayo hayo ya baadhi ya weusi.

Asilimia kubwa ya ngozi nyeusi ni shida mno, si Tanzania pekee, hata wasio watz.
 
Back
Top Bottom