Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,318
- 7,655
- Thread starter
- #21
i dont share my stuffs with everyone, nilimwamini sana na ni mtu wa karibu yangu sana.Kwanza kwanini umwambie MTU mambo yako? wewe ndio muhusika..wala hugombanishwi..uliyemwambia kaamua kusema Yale usiyotaka Fulani ayasikie!
( Hana kosa, kiherehere chako kinashughulikia..ameamua kusema ukweli wa uliyomwambia..si ulijipendekeza mwenyewe? kwani alikulazimisha?
I'm a Leo..born on August 15th ..we simply don't entertain stupidity ! mjifunze traits zetu ..sasa ugomvi wako katika hali ya kisiasa hapa nchini ni Kigwangallah Vs Nyalandu..wote ni Leo/Simba..kila mmoja fahari na mbishi..(eeh kumbe MMU) kwaheri...Mimi na mapenz wp na wp