Karibu sana Mzee wa Upekuzi, ID yako bana tamu kama JF. Jione huru na nikujuze tu kuwa umechukua uamuzi sahii kuachana na u guest! Nikupe angalizo mzee mwenzangu JF inabidi uwe na subira kidogo vinginevyo utapasua keyboard yako. Humu ndani JK wanamwita ****** je kama wewe ni JK ungejisiake? Huo ni mfano lakini yapo mengi kama hayo na mazuri ya kidaku toka jikoni mengi tu. Karibu sana.