Ngono mbaya!

Ngono mbaya!

Pumbavu kabisa jinga wewe
Yaani mwanaume unajisifia bikra.
Unataka nani akuondolee bikra lako la huko nyuma.
Mnaleta agenda za ushoga kijanja.
Pumbavu once again
vijana kama nyie mnao fanya ngono mmepata faida ipi
 
Huyu dogo ni bwabwa
Mwanaume Gani anajisifia kuwa bikra.
Labda anaona bikra yake ya backwards amekaa nayo muda mrefu Sasa anataka wahuni waitoe
Useja na ushoga vitu viwili tofauti mimi mseja wala sio shoga unavyowaza ww
 
Huyu dogo ni bwabwa
Mwanaume Gani anajisifia kuwa bikra.
Labda anaona bikra yake ya backwards amekaa nayo muda mrefu Sasa anataka wahuni waitoe
Mimi sio dogo miaka 30 nitakuwaje dogo kama si uzinguzi ulionao
 
Mimi sio dogo miaka 30 nitakuwaje dogo kama si uzinguzi ulionao
Acha upumbavu mwanaume hazaliwi na bikra
Mwanaume ni toboa toboa
Kujisifu bikra ni mambo ya kike hayo.
Yaani unaona hiyo mbor. o yako ina layer ya bikra😅
Haya unataka nani akuondolee hiyo bikra?
 
Kuna siku nilienda mahala walipo mapadre, aisee wanaowahudumia ni masister..

Yaani beer ikiisha au wine sister anaitwa anaongeza pombe 🤣 .. nilishangaa..

Wale jamaa wana kadunia kao..

Yaani masister ndio waitresses wao..🙌
Hahahaha , wanakula vizuri na pombe zao ni za gharama , ndio maama wanatakata , upara lazima umeremete 😆
 
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
Kwwli ngono mbaya.

Ndiyo maana imekuleta wewe hapa.
 
Back
Top Bottom