Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Il hana mkia!Mzee Msindai amerudi ili wakati ukiwadia wa kurudi kwa muumba apate maziko ya heshima....!
Il hana mkia!Mzee Msindai amerudi ili wakati ukiwadia wa kurudi kwa muumba apate maziko ya heshima....!
kakatwa juzi pale dodoma anauguza kidonda.MOTOCHINI kakatwa mkia na nani na lini?
Sure, wanasiasa njaa wamezidi. Bora tu kawapa ukweli. Badala ya kutumikia wananchi wanaangalia maslahi yao.Kwa kifupi ni kwamba JPM hana msamaha na wasaliti. Wakirudi basi ila watakuwa hawana mikia! Huwezi kujua kwamba akina Msindai wanarudi kuja kuvuruga hivyo bora watambuliwe kwa kukosa mikia. Mzee wa watu kaomba msamaha hadharani lakini kumbe hana mkia.