NAFIKIRE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 681
- 466
Wana jamvi leo nimemsikia mkulu akisema wanaotaka kurudi tena kwenye kundi wanakaribishwa.Ila alimalizia kwa msemo wa kabla lao kwamba:"Ng'ombe hazuiwi kurudi kundini, ila akisharudi ngo'mbe wengine watamtambua tu kwamba amekatwa mkia..
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu huo msemo.Naomba na nyie bandugu mnisaidie mmemuelewa mkulu???
Karibuni.
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu huo msemo.Naomba na nyie bandugu mnisaidie mmemuelewa mkulu???
Karibuni.