GE2025 Ngoma bado nzito na hivi sasa ni saa 4 usiku

GE2025 Ngoma bado nzito na hivi sasa ni saa 4 usiku

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Ukimya watawala masikio Dodoma

Chama Cha Mapinduzi CCM kilisogeza mbele muda wa kutoa taarifa ya Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mchujo wa wagombea kutoka saa 11 jioni mpaka saa tatu na nusu usiku ila mpaka sasa saa nne na nusu usiku hakuna taarifa mpya.
1753733070147.png

Kumekuwa na shauku kubwa kwa watu wengi kutaka kujua majina aliyopitishwa kutokana na watu wengi waliojitokeza kuomba ridhaa.

Hata hivyo chama hicho kifanya marebebisho madogo ya katiba ili kuongeza majina kutoka matatu mpaka matano hatua ambayo ilitajwa kwamba ni ukomavu wa kisiasa.
 
Ukimya watawala masikio Dodoma

Chama Cha Mapinduzi CCM kilisogeza mbele muda wa kutoa taarifa ya Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mchujo wa wagombea kutoka saa 11 jioni mpaka saa tatu na nusu usiku ila mpaka sasa saa nne na nusu usiku hakuna taarifa mpya.

Kumekuwa na shauku kubwa kwa watu wengi kutaka kujua majina aliyopitishwa kutokana na watu wengi waliojitokeza kuomba ridhaa.

Hata hivyo chama hicho kifanya marebebisho madogo ya katiba ili kuongeza majina kutoka matatu mpaka matano hatua ambayo ilitajwa kwamba ni ukomavu wa kisiasa.
Wamezuiwa, hamna Wabunge janjajanja wa Samia na genge lake .

Wamepigwa PIGO takatifu, PIGO Moja kubwaaa
 
Ukimya watawala masikio Dodoma

Chama Cha Mapinduzi CCM kilisogeza mbele muda wa kutoa taarifa ya Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mchujo wa wagombea kutoka saa 11 jioni mpaka saa tatu na nusu usiku ila mpaka sasa saa nne na nusu usiku hakuna taarifa mpya.

Kumekuwa na shauku kubwa kwa watu wengi kutaka kujua majina aliyopitishwa kutokana na watu wengi waliojitokeza kuomba ridhaa.

Hata hivyo chama hicho kifanya marebebisho madogo ya katiba ili kuongeza majina kutoka matatu mpaka matano hatua ambayo ilitajwa kwamba ni ukomavu wa kisiasa.
Hahahaha😂😂😂😂
 
Inamaana hawajui hata makadirio ya kazi yao. Sasa waliharakisha nini?

Hii unaweza kuta hadi wiki inaisha. Siku zote hizo walikuwa wanafanya nini
 
Ukimya watawala masikio Dodoma

Chama Cha Mapinduzi CCM kilisogeza mbele muda wa kutoa taarifa ya Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mchujo wa wagombea kutoka saa 11 jioni mpaka saa tatu na nusu usiku ila mpaka sasa saa nne na nusu usiku hakuna taarifa mpya.

Kumekuwa na shauku kubwa kwa watu wengi kutaka kujua majina aliyopitishwa kutokana na watu wengi waliojitokeza kuomba ridhaa.

Hata hivyo chama hicho kifanya marebebisho madogo ya katiba ili kuongeza majina kutoka matatu mpaka matano hatua ambayo ilitajwa kwamba ni ukomavu wa kisiasa.
NRNE is real
 
Kihelehele chao Kwan kulikuwa na ulazima gan wa kuitisha press ilihali mchakato bado mbichi
 
Back
Top Bottom