Ngoja niropoke

Yani nilikutana na Ke wasomi 6, kwa nnje ni wife materials tupu lakini jiwekee ndani sasa ujionee vituko


Si kupigwa vile kwa vitu vizito hadi nilibakia skeleton tupu kwa stress


Wasomi wasomi eeeeh...
Pole sana, Kuna tatizo upande wako wote sita Kuna mmoja angekuwa vizuri iwapo Kuna vitu au sifa ungekuwa nazo, cha Kwanza thamani yako kama kichwa ilikuwaje? Yaaani ulifanya maandalizi gani ya kujithamisha Kwanza Ili huyo mke akifika anakuwa humble? Tatizo nikutafuta mtu wa kukuthaminisha wewe badala ya wewe kujithamisha Kwanza na hapo ndo tunasema Ili mwende sawa tafuta wa level yako, imagine wewe kama mume umejenga mazingira yako yenye thamani yasiyohitaji hata kijiko cha huyo mke Kwanza akileta anaulizwa umeleta cha nini kama havitoshi ungesema niongeze vingine Mimi nahitaji mke mwenye tabia nzuri na kujiheshimu na mambo ya familia ntasimama mwenyewe Sasa hapo hao wasomi wote hukupata aliye humble kwako? Au ulikuwa unachagua wa kukusaidia kuongeza thamani yako?
 
Daudi naye alimla mke wa mtu 😂

Ila shida ipo kwa wanawake wenyewe kujilegeza kizembe kwa wanaume, yaani ni wazembe mno.
 
Hivi mwenye shida kubwa ni nani muombaji au muombwaji!?
Muombwaji ndiye mwenye shida kubwa, kinyume na hapo angeweza kukataa, Ila kwa kuwa ana shida kiukweli akiguswa kidogo tu anatoa ushirikiano mkubwa ili apate akitakacho.

Ukiona manyoya,,,,, keshaliwa 😂
 
  • Umeandika vyema kabisa!
  • Kuna mmama mmoja CEO wa taasisi maarufu na muhimu Kwa nchi ameolewa kwa wanaume wawili, wote anawapa ratings kama wanaume wenye nyumba mbili wafanyavyo
Tobaaaaa
 
Umemaliza mjadala. Wee kuwa na wanawake watano na hakikisha wote wanajua kuwa hawapo wao peke mbona watatia akili ata mavi yako watakula🤣🤣🤣🤣
Hii ndiyo dawa ambayo wengi wanaolialia eti mke msomi sijui ana pesa anasumbua, wapi bhanaaa mbele ya mwanaume mwanamke ni mwanamke tu na dawa ni ile ile mwanamke mwenzie, baasi.....
 
Hii ndiyo dawa ambayo wengi wanaolialia eti mke msomi sijui ana pesa anasumbua, wapi bhanaaa mbele ya mwanaume mwanamke ni mwanamke tu na dawa ni ile ile mwanamke mwenzie, baasi.....
Simple as that. Akileta nyondo ataondoka mwenyewe wee unaendelea kupiga mbususu
 
Kama kuna mdada au mwanamke amesoma ujumbe huu na haujambadilisha basi hilo litakuwa ni sikio la kufa
 
Yeye ndo atatafuta option, ya nini kuumiza kichwa na mtu ambaye kiasili anatakiwa akutii na kukunyenyekea......eti kisa amekuwa msomi na kapata vijisenti.
Your browser is not able to display this video.
 
Mpango ni kuipoteza SAUTI na NGUVU ya kiume. Kama wewe ni Mwanaume au unaye mwanaume kwenye maisha yako,


 
wajane wengi,
watalaka wengi,
wasingo maza wengi,
washoga wengi,
wengi wanamatatizo ya nguvu za kiume
Wenye nye.ge wengi

Marijali tuko wachache!!!, mnatupa kazi sana mjue
 
Nilioa std 7 nimemuendeleza Qt nakwambia kiburi kimeongezeka nimeahirisha mipango yote ya kumsomesha nimeahirisha apambane na hali yake.
 
wajane wengi,
watalaka wengi,
wasingo maza wengi,
washoga wengi,
wengi wanamatatizo ya nguvu za kiume
Wenye nye.ge wengi

Marijali wachache!!!, mnatupa kazi sana mjue
Marijali wachache!!!, mnatupa kazi sana mjue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…