Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,776
- 2,389
Wakuu nilikuwa nikipata moja baridi sehemu fulani jana baada ya kazi ngumu na joto kali la DSM.
Mara umeme ukakatika, jamaa mmoja akapiga kelele kwa nguvu:" Ngeleja hiyoo imeingia na tunayo mpaka saa sita usiku"
Wateja nilioweza kuwaona wa karibu wakatikisa vichwa,na wengine kulalamikia ujio wa mgeni huyu wa ghafla!
Ngeleja na umeme(lack of) vishakuwa synonimous!
Mara umeme ukakatika, jamaa mmoja akapiga kelele kwa nguvu:" Ngeleja hiyoo imeingia na tunayo mpaka saa sita usiku"
Wateja nilioweza kuwaona wa karibu wakatikisa vichwa,na wengine kulalamikia ujio wa mgeni huyu wa ghafla!
Ngeleja na umeme(lack of) vishakuwa synonimous!