Ngeleja hiyooo!!!

Ngeleja hiyooo!!!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2008
Posts
4,776
Reaction score
2,389
Wakuu nilikuwa nikipata moja baridi sehemu fulani jana baada ya kazi ngumu na joto kali la DSM.
Mara umeme ukakatika, jamaa mmoja akapiga kelele kwa nguvu:" Ngeleja hiyoo imeingia na tunayo mpaka saa sita usiku"
Wateja nilioweza kuwaona wa karibu wakatikisa vichwa,na wengine kulalamikia ujio wa mgeni huyu wa ghafla!
Ngeleja na umeme(lack of) vishakuwa synonimous!
 
Huyu jamaa kama ana ustaarabu au heshima yeyote angejiuzulu tu au amwombe rais amfanye balozi nje ya nchi kazi imemshinda,unatoa ahadi tu mwaka wa tatu hamna lolote lifanyikalo.
 
Ingekuwa kila wizara inayochemsha Waziri wake anajiuzuru ''kirahisi rahisi'' namna hiyo, basi baraza zima lingepaswa kuziuzuru.

Kwa watu wenye mawazo kama haya hatutakaa tuendelee hata siku moja kama taifa. Kwani wewe unataka mtu achemshe mara ngapi ndo u-admit failure. Halafu failure of the highest degree kama ya ngeleja haitakiwi kuitetea coz the guy has failed to deliver any of his promises ever since he held that office? Instead things have got worse rather than better.
 
Ni wazi Ngeleja hana ufumbuzi wa kutatua tatizo la umeme nchini ameikalia wizara hiyo kwa muda mrefu kiasi kwamba angekuwa na mkakati wa kudumu kuhusiana na adha hii Je nchi za Afrika ya mashariki na kati ambazo tunashabiana nao kijiografia mbona hatusikii migao kila mwaka Sakata la Richmond na Dowans lingekuwa ni changamoto kwa Ngeleja kujipanga vizuri nakubuni mkakati ya kudumu wakuwakikishia umeme wa uhakika yeye analeta mikakati ya zimamoto Iwapo Ngeleja aliakikisha askari wa benki anafukuzwa kazi kisa eti kamtaka awapishe wateja waliokuwa kwenye foleni wanasubiri huduma ya ATM ilihali yeye alishavuta mkwaja lakini akaendelea kuongea na simu anapashwa kufuatilia hili janga la kitaifa kwa uwezo na nguvu zake zote kuliko kuendeleza ubabe kwa masuala yasiyokuwa na msingi Imefika wakati awapishe awapishe waliomzidi kiutemdaji waongoze wizara hiyo
 
Back
Top Bottom