Basi kama ingelikuwa sio dermacation za wazungu, Ngara kiuhalisia ingelikwenda Burundi. Full stop!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Na kama ingelikuwa sio demarcation za Wazungu, Burundi kiuhalisia ingekuha Tanganyika. Full stop!!!!!!!!!!!!!!!!
Naona tunahangaika sana na mambo ya karne nyingi zilizopita. Ukichunguza kwa undani, kama isingekuwa mipaka ya Wazungu, makabila haya ya Wahangaza, Waha, Watutsi, Watwa, na Wanyamulenge yalistahili kuwa nchi moja. Hii ni kwa kuwa lugha wanayozungumza, kimsingi ni moja, kinachofanya kuwe na tofauti kidogo ni mipaka ya Kiutawala. Hata tamaduni zao ni zilezile, koo zao [clans] ni zilezile; ukienda katika nchi za Burundi, Rwanda, Tanzania na sehemu za DRC Mashariki utazikuta. Mfano; utakuta clans za Abasindi, Abanyagwanda, Abakimbili nk katika nchi zote hizo.
Nilitembelea ngara rulenge...jamani duniani kuna mademu wazuri...
Na kama ingelikuwa sio demarcation za Wazungu, Burundi kiuhalisia ingekuha Tanganyika. Full stop!!!!!!!!!!!!!!!!
Naona tunahangaika sana na mambo ya karne nyingi zilizopita. Ukichunguza kwa undani, kama isingekuwa mipaka ya Wazungu, makabila haya ya Wahangaza, Waha, Watutsi, Watwa, na Wanyamulenge yalistahili kuwa nchi moja. Hii ni kwa kuwa lugha wanayozungumza, kimsingi ni moja, kinachofanya kuwe na tofauti kidogo ni mipaka ya Kiutawala. Hata tamaduni zao ni zilezile, koo zao [clans] ni zilezile; ukienda katika nchi za Burundi, Rwanda, Tanzania na sehemu za DRC Mashariki utazikuta. Mfano; utakuta clans za Abasindi, Abanyagwanda, Abakimbili nk katika nchi zote hizo.
Watamu...uuuuuu
naungana na mleta mada mi nimesoma ngara sekondari ya rulenge kule hata kiswahili hawajui na ukienda madukani kumejaa bidhaa za burundi tu hata sura zao ni za kiburundiburundi na rwanda kule sio tanzania mkoloni alikosea kwani hata kihangaza kinahingiliana na kirundi na kinyarwanda kuliko kihaya ,wahangaza hawasikilizani na kabila lolote tanzania labda waha
Binadamu haachi asili; hata ID yako inaonyesha hivyo. From the bottom of your heart, ebu waelezee Watanzania maana ya Wimana. Naona unawatetea Watutsi wenzio.
Kuna watu wamekalia ku post ujinga ujinga tuu adi wanauzi!
wamakonde wametokea msumbiji,hakuna makonde mwenye asili ya taznania,jaluo ni mkenya haina mjadala rejea historiaKwa hiyo Waha nao ni Warundi? Kijaluo kinaingiliana na kabila gani lingine Tanzania? Kimakonde je?
'Wa Mchele mchele'Jifunze kiswahili fasaha!
wamakonde wametokea msumbiji,hakuna makonde mwenye asili ya taznania,jaluo ni mkenya haina mjadala rejea historia
muhungu ula komeye..?Kulingana na udukuzi wako wasaidie hao wanaochangia wasiyoyajua humu ndani; Wahangaza na Waha wametokea wapi?
Ngara wachu,msalimie mama clara,mboyo,temu,kamachumu,mbiligi,mrefu,na machzi wote kina lenini waambie mwanawao npo mjini nafanya mambo,ipo cku ntarudi 2kale bata rusumo!!
Ninapoongelea juu ya Ngara sijakurupuka, tembea iwe ni Nyakanazi, Lusahunga, Ngara mjini yenyewe, Rulenge, Rusumo na hata Kabanga sehemu hizo za wilaya hii si sawa na maeneo mengine ya mipakani mwa nchi hii kama ilivyo Tunduma, Namanga, Sirari, Mbamba bay, Mutukula etc
Sasa nipo Ngara, najionea hali ilivyo, kumesheheni wanyarwanda kuliko warundi, vitendo vya kiharamia vimesheheni, huwezi kuendesha gari yako private baada ya saa mbili usiku hata uwepo Ngara mjini, mgeni anajulikana kwa aina ya kiswahili
Ni aghalabu kukuta watu wakiongea kiswahili, hakuna FM radio zaidi ya radio za kinyarwanda tena wakilonga kinyarwanda na ndizo zinazosikika, ipo radio KWIZERA ambayo pia baadhi ya nyakati ilidiriki kutumia kilugha badala ya kiswahili katika utangazaji wake
Ninachoamini, ni eneo ambalo limetelekezwa kiujumla ndio maana hata matukio mengi ya uharamia yamesheheni katika mapori mazito na milima mirefu inayoizunguka wilaya hii ya Ngara
Kwa yeyote, na aitembelee wilaya hiyo ajionee unaijua Ngara vizur wewe?kwa ufupi umekurupuka hata majina yenyewe huyajui vizur,kwahiyo kama haujui Ngara iko wapi utakua na utaahira kiasi fulan