Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,068
- 2,225
subiri ligi ianze!hakuna cha Asemoah, Tegete, Niyonzima''fabrigas''' Kiiza, Berko, Chacha Marwa wala Canavaro -- Habari ndo hiyo.
subiri ligi ianze!hakuna cha Asemoah, Tegete, Niyonzima''fabrigas''' Kiiza, Berko, Chacha Marwa wala Canavaro -- Habari ndo hiyo.
<br />hahaha Fungu la kukosa! Pole kiongozi wangu
<br /><br /><br />
<br /><br />
Tambuu kale na jamaa zenyu Yanga bana eboooo!!!CDM iko juu mtakomaaaaaaaaa leo tunakata mikandambili yenu mtarudi mnapekua leo!!
yanga africa - machampion wa makombe ya maana
simba mishikaki - spealists wa makombe ya mbuzi
Pilau ni jadi ya waislamu, kwani wewe hujui kwamba Simba ni timu ya waarabu?<br />
<br />
mkuu usinisahau wakati wa kugonga pilau, manake ni kawaida kwa mnyama kuandaa sherehe za ubwabwa ili kujipongeza.
hakuna shida, hizi ndo dalili zenyewe<br />subiri ligi ianze!
yanga ilikuwa mazoezini ngoja ligi ianzeTutakutana kwenye ligi ,Sam Timbe ni mtaaalamu wa kuchukua makombe sio hizo ngao
<br />Angalau tujifariji na ngao maana hawa Yanga ni mabingwa wa Tanzania na ni mabingwa wa Afrika mashariki na kati.
mkuu tungefunga mngevunja timu,hatutaki utani ufe!hakuna shida, hizi ndo dalili zenyewe<br /><br />
<br />
<br />Pilau ni jadi ya waislamu, kwani wewe hujui kwamba Simba ni timu ya waarabu?
mkuu tulia hii thread itakuwa ya yanga soon.mfungaji nani?
Simba ni timu ya waarabu, sisi tuliozalwa Dar tunalifahamu hili vizuri, wengine ni misukule wanafuata upepo. na Yanga ni timu ambayo imetekwa na ccm na naendelea kutafakari kama kuna ulazima wa kuendelea kuinga mkono Yanga.<br />
<br />
Kwamba ni timu ya waarabu nilikuwa sijui................................!
Kwamba wanapenda ubwabwa nilikuwa nafahamu,ndo maana nikamuomba mdau kimey asinisahau.
Ila huyu kimey mbona hana nasaba ya middle east kama ndo wenye timu?
ligi inaanza mkuu tusikimbiane!unadanganyika kirahisi kiasi hicho??? ha ha ha!!!
Hii mechi bora simba wameshinda, maana kama yanga tungeshinda . . . . Yaani hakya mungu simba wangesambaratika . . .
Tumewakamua ubingwa wa tanzania bara kwa makofi ya mbao
tukawabandua tena kagame live live bila hata chenga
leo tena tuwabandue, aaaah sio vizuri jaman . . .