samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 215
Mpira umekwisha simba 2 yanga 0. usiku mwema.
<br />Duuuh watu leo mbona siwaoni....presida Bata yumo??
<br />Hawa tanesco vipi mpaka tuwakumbushe!
hahaha Fungu la kukosa! Pole kiongozi wangu<br /><br />
<br /><br />
kama msingeshinda game hii mngesambaratika. Tuliwapokonya ubingwa siku ya mwisho na kagame tukachukua mikononi mwenu. Sio mbaya na nyie mwende bungeni kusafisha macho.
<br />Yanga Vipi? Mnasubiri Extra Time? Tehtehteh Leo hakuna Extra Time ni muda tu wa kula daku ndio umebakia tehtehteh Simba Raha si Rahaaaaaaaaaa? Rahaaaaaa.
Angalau tujifariji na ngao maana hawa Yanga ni mabingwa wa Tanzania na ni mabingwa wa Afrika mashariki na kati.mpira kwishney
yanga kwishney
ngao hiyooooooooooooo msimbazi