Ngao ya Hisani live: SIMBA vs YANGA

Ngao ya Hisani live: SIMBA vs YANGA

Hongereni sana watani zangu kwa kandanda safi la 1st hal(japo siuangalii mpira,TANDARKSCO wamefungulia giza mapema)....Naona(kwa mujibu wa TBC Taifa) Yanga wanakimbiakimbia tu uwanjani......Kila la heri,mnastahili kuchukua 'ubingwa' wa Ngao ya jamii.....Yanga tumeonekana kushindwa hata kabla ya kungia uwanjani(kwa kutishia kutoingiza timu uwanjani)......
 
hivi sasa ni half time na simba inaongoza kwa mabao 2-0, wafungaji ni haruna moshi na felix sunzu.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hizi sasa tambuuu za maji taka! Kumbe na siasa ndani? Teh!
<br />
<br />
Tambuu kale na jamaa zenyu Yanga bana eboooo!!!CDM iko juu mtakomaaaaaaaaa leo tunakata mikandambili yenu mtarudi mnapekua leo!!
 
Monde ni bia crashwise karibu sana tusherekee ushindi kwa hawa watalii wa bungeni!
 
Hongereni sana watani zangu kwa kandanda safi la 1st hal(japo siuangalii mpira,TANDARKSCO wamefungulia giza mapema)....Naona(kwa mujibu wa TBC Taifa) Yanga wanakimbiakimbia tu uwanjani......Kila la heri,mnastahili kuchukua 'ubingwa' wa Ngao ya jamii.....Yanga tumeonekana kushindwa hata kabla ya kungia uwanjani(kwa kutishia kutoingiza timu uwanjani)......
nakukubali mkuu huwa huweki ushabiki mbele..
 
<br />
<br />
kwao zambia kaja simba akitokea northen africa *(egypt)*

Felix Mumba Sunzu ni Mzambia na alikuwa anachezea timu iliyowapiga Yanga goli sita kule Sudan, Sio Egypt mkuu.
 
Hongereni sana watani zangu kwa kandanda safi la 1st hal(japo siuangalii mpira,TANDARKSCO wamefungulia giza mapema)....Naona(kwa mujibu wa TBC Taifa) Yanga wanakimbiakimbia tu uwanjani......Kila la heri,mnastahili kuchukua 'ubingwa' wa Ngao ya jamii.....Yanga tumeonekana kushindwa hata kabla ya kungia uwanjani(kwa kutishia kutoingiza timu uwanjani)......[/QUOT]a
Sikutegemea kama wewe upo, nashangaa unakuja kujitokea kwenye thread za kizembe kama hii! kwanza nakukosoa hakuna ubingwa wa ngao ya Hisani dunia hii, pili Simba ndio ilikuwa ya kwanza kusema haitoingiza timu uwanjani, lakini hili halifanyi nisikemee upuuzi wowote walioufanya Yamga.
 
Naipenda sana yanga hasa inapofungwa........ Nidhamu
 
Back
Top Bottom