Ngao ya Hisani live: SIMBA vs YANGA

Ngao ya Hisani live: SIMBA vs YANGA

...YY bana, just few hours ago hatukusikia maneno haya, sasa baada ya kichapo cha mbwa mwizi ndo tunaanza kusikia haki ya shetani, ect....

kwa kuchonga tuu hamjambo, sisi tumeonyesha wa kitabuni na kwa jeuri ya kumweka Kago benchi kwanza na goli zimepachikwa swaaafiii.... Mbwembwe zote za kutimua watazamaji eti Timbe anawafundisha vitu hatari ipo wapi ? Next time akawafungie stoo au jikoni ili mfanye vizuri mazoezi kwa kujificha na mkija tena ni bao tuuu...
Hizi ni comment kutoka kwa mtu asiyejuwa kwamba leo wajanja walikuwa wanatafuta pesa, poleni sana wenye ushabiki wa stahili hii, maana hamuwajui viongozi wenu wa mpira wakoje!
 
Simba ni timu ya waarabu, sisi tuliozalwa Dar tunalifahamu hili vizuri, wengine ni misukule wanafuata upepo. na Yanga ni timu ambayo imetekwa na ccm na naendelea kutafakari kama kuna ulazima wa kuendelea kuinga mkono Yanga.
Yanga ina tatizo la kiihistoria lakini inatakiwa ijitoe kwenye kukumbatiwa na ccm.isipojilekebisha hili nitajitoa rasmi Yanga.

Kaka, masuala ya siasa ukiyaingiza ktk sport maisha yako utayavuruga kabisa.
Hakuna cha kuihusisha Yanga na CCM zaidi ya rangi zao kufanana.
Sitta, Zitto Kabwe ni Simba damu lakin wanaelewa kutofautisha siasa na sports. Mpira ni burudani, sio kama siasa. Stress za siasa zisihamaishiwe ktk michezo. Hata ukiangalia maana na malengo halisi ya Sports ni kuleta amani ktk jamii na kuboresha afya za binadamu, ingawaje sasa ni sehemu ya ajira.
 
...YY bana, just few hours ago hatukusikia maneno haya, sasa baada ya kichapo cha mbwa mwizi ndo tunaanza kusikia haki ya shetani, ect....

kwa kuchonga tuu hamjambo, sisi tumeonyesha wa kitabuni na kwa jeuri ya kumweka Kago benchi kwanza na goli zimepachikwa swaaafiii.... Mbwembwe zote za kutimua watazamaji eti Timbe anawafundisha vitu hatari ipo wapi ? Next time akawafungie stoo au jikoni ili mfanye vizuri mazoezi kwa kujificha na mkija tena ni bao tuuu...

Sawa kaka, lakin nilichosema ndio ukweli wenyewe
 
...Wewe unajua nini ? Aliyekuwa anatafuta pesa ni nani na ni viongozi gani hao walikuwa wanacheza uwanjani. U sound like rz1, tunajua mmewekeza kule YY na huyo nchungwa mmempachika nyie kama familia.

Mechi ya ngao ya hisani ipo ktk calender na uchezwa kila mara sasa huu upuuzi wako kawaeleze kule ktk kilabu cha chibuku, WAMA au uwanja wa fisi sio hapa...!!

Hizi ni comment kutoka kwa mtu asiyejuwa kwamba leo wajanja walikuwa wanatafuta pesa, poleni sana wenye ushabiki wa stahili hii, maana hamuwajui viongozi wenu wa mpira wakoje!
 
Kaka, masuala ya siasa ukiyaingiza ktk sport maisha yako utayavuruga kabisa.<br />
Hakuna cha kuihusisha Yanga na CCM zaidi ya rangi zao kufanana.<br />
Sitta, Zitto Kabwe ni Simba damu lakin wanaelewa kutofautisha siasa na sports. Mpira ni burudani, sio kama siasa. Stress za siasa zisihamaishiwe ktk michezo. Hata ukiangalia maana na malengo halisi ya Sports ni kuleta amani ktk jamii na kuboresha afya za binadamu, ingawaje sasa ni sehemu ya ajira.
<br />
<br />
Inakuwaje mashabiki wa yanga wanashangilia goli kwa kuimba magamba! magamba!?
Hapo ndipo utata unapoanzia hasa kwa mtu mwenye allergy na magamba,na watu wengi sasahivi wana allergy na magamba so unaweza kuforesee nini kinaweza kutokea mbele ya safari.
 
iwe ya waarabu,wapemba.mmefungwa na simba

simba kwenye akaunti yake benki ina 50mil, manji kwenye akunti yake ana 500 bil. tihiii

need to shut up, ongeleeni mchezo wa leo
 
Hongereni sana watani zangu kwa kandanda safi la 1st hal(japo siuangalii mpira,TANDARKSCO wamefungulia giza mapema)....Naona(kwa mujibu wa TBC Taifa) Yanga wanakimbiakimbia tu uwanjani......Kila la heri,mnastahili kuchukua 'ubingwa' wa Ngao ya jamii.....Yanga tumeonekana kushindwa hata kabla ya kungia uwanjani(kwa kutishia kutoingiza timu uwanjani)......[/QUOT]a
Sikutegemea kama wewe upo, nashangaa unakuja kujitokea kwenye thread za kizembe kama hii! kwanza nakukosoa hakuna ubingwa wa ngao ya Hisani dunia hii, pili Simba ndio ilikuwa ya kwanza kusema haitoingiza timu uwanjani, lakini hili halifanyi nisikemee upuuzi wowote walioufanya Yamga.
Yeah.....Nipo mkuu.......Bala is always here.......

Narudia tena: Yanga tulishindwa hata kabla ya mchezo(kwa kutishia kutoingiza timu uwanjani)...

Tatizo lako na umekurupuka.....Kuna tofauti kubwa sana kati ya 'ubingwa' na ubingwa....

Nimewapongeza watani kwa kuchukua 'ubingwa' wa Ngao ya jamii....

Leo Yanga tumezidiwa na Simba kila idara,kubali kataa ila ukweli ndio huo....

Beki ya Simba ilitulia mwanzo mpaka mwisho....Ya kwetu ilipwaya sana leo hasa Fuso na Chacha...

Kiungo cha Simba kilituzidi sana dakika 45 za mwanzo na kipindi cha pili kidogo Yanga tuliibuka kwenye kiungo(hasa baada ya kutoka Kigi Makassy na kuingia Hamis Kiiza na baadae Rashid Gumbo 'Fundi').....

Washambuliaji wetu hakuna lolote walilofanya zaidi ya kukimbiakimbia tu uwanjani na kukosa magoli ya wazi.....Emmanuel Okwi,Felix Sunzu,Haruna Moshi na baadaye Gervais Kago wameisumbua sana beki yetu leo shukrani zimuendee Shaban Kado kwa umahiri wake golini...

Ila kwa Haruna Niyonzima Yanga tumelamba dume......I wish angecheza na Nurudin Bakari mambo pale katikati yangekuwa mswano leo...

Btw.....Kuna taarifa Rage anapeleka Ngao na timu bungeni ijumaa ili ipongezwe na wahishimiwa.....

Hongereni sana watani........Mlistahili ushindi
 
Yeah.....Nipo mkuu.......Bala is always here.......

Narudia tena: Yanga tulishindwa hata kabla ya mchezo(kwa kutishia kutoingiza timu uwanjani)...

Tatizo lako na umekurupuka.....Kuna tofauti kubwa sana kati ya 'ubingwa' na ubingwa....

Nimewapongeza watani kwa kuchukua 'ubingwa' wa Ngao ya jamii....

Leo Yanga tumezidiwa na Simba kila idara,kubali kataa ila ukweli ndio huo....

Beki ya Simba ilitulia mwanzo mpaka mwisho....Ya kwetu ilipwaya sana leo hasa Fuso na Chacha...

Kiungo cha Simba kilituzidi sana dakika 45 za mwanzo na kipindi cha pili kidogo Yanga tuliibuka kwenye kiungo(hasa baada ya kutoka Kigi Makassy na kuingia Hamis Kiiza na baadae Rashid Gumbo 'Fundi').....

Washambuliaji wetu hakuna lolote walilofanya zaidi ya kukimbiakimbia tu uwanjani na kukosa magoli ya wazi.....Emmanuel Okwi,Felix Sunzu,Haruna Moshi na baadaye Gervais Kago wameisumbua sana beki yetu leo shukrani zimuendee Shaban Kado kwa umahiri wake golini...

Ila kwa Haruna Niyonzima Yanga tumelamba dume......I wish angecheza na Nurudin Bakari mambo pale katikati yangekuwa mswano leo...

Btw.....Kuna taarifa Rage anapeleka Ngao na timu bungeni ijumaa ili ipongezwe na wahishimiwa.....

Hongereni sana watani........Mlistahili ushindi
Kutokuwepo kwa Nurdin Bakari ilikuwa pengo kubwa sana,tutakutana nao kwenye ligi
 
Timu ya magamba hoooi! eti mnasema nyie ni mabingwa wa makombe ya kimataifa, hio club bingwa africa mashariki na kati ni nani mbabe wa kombe hilo amelichukua mara nyingi zaidi kama si mnyama?
Hongereni sana Simba, nipo hapa YANGA KAPAKATWA Pub nashushia Montein Dew bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi.
Asante mnyama kwa kunifanyia usiku mororo.
 
Mie Naungana Mkono na Balatanda Anajuwa nini Sports, Katupa Hongera sie Wana Simba kama kipindi kile tulivyompa Hongera walivyotufunga Yanga..

Hakuna Kitu sipendi kama Watu kuingiza Siasa humu na Dini na Rangi wengi naona tu Comment zao tujaribu kujirekebisha ndomana mipira yetu inaanguka Nchini. Kama mtu umeshindwa ukaona huwezi kujibu kwa namna nyengine bora unyamaze.
 
<br />
<br />
Inakuwaje mashabiki wa yanga wanashangilia goli kwa kuimba magamba! magamba!?
Hapo ndipo utata unapoanzia hasa kwa mtu mwenye allergy na magamba,na watu wengi sasahivi wana allergy na magamba so unaweza kuforesee nini kinaweza kutokea mbele ya safari.

Panua akili yako, ona mbele zaidi. Kila mtu anasema, na hata Chadema na CUF wanakiri waziwazi kwamba CCM ya Mwalimu J.K. Nyerere ilikuwa na maadili ya uadilifu wa hali ya juu. Hii ndio sababu ya Yanga kuimba CCM, CCM kutokana na uadilifu huo.
Au la, wewe utakuwa ni mtoto wa miaka ishirini na kitu, ndio maana unaongea hivi.
Yanga wanashangilia hivyo tangu miaka ya 70, na sasa imekuwa kama mazoea tu
 
Duh! kaubao tu kahisani kamewajaza watu hivi? Kweli simba walikuwa na hasira na yanga! hasa baada ya Kukosa ubingwa wa bara na Kagame Tena wameumia sana kwa kitendo cha yanga kwenda Bungeni. Mi Siwapi hongera kwa sababu ni kaubao tu!
 
Yeah.....Nipo mkuu.......Bala is always here.......

Narudia tena: Yanga tulishindwa hata kabla ya mchezo(kwa kutishia kutoingiza timu uwanjani)...

Tatizo lako na umekurupuka.....Kuna tofauti kubwa sana kati ya 'ubingwa' na ubingwa....

Nimewapongeza watani kwa kuchukua 'ubingwa' wa Ngao ya jamii....

Leo Yanga tumezidiwa na Simba kila idara,kubali kataa ila ukweli ndio huo....

Beki ya Simba ilitulia mwanzo mpaka mwisho....Ya kwetu ilipwaya sana leo hasa Fuso na Chacha...

Kiungo cha Simba kilituzidi sana dakika 45 za mwanzo na kipindi cha pili kidogo Yanga tuliibuka kwenye kiungo(hasa baada ya kutoka Kigi Makassy na kuingia Hamis Kiiza na baadae Rashid Gumbo 'Fundi').....

Washambuliaji wetu hakuna lolote walilofanya zaidi ya kukimbiakimbia tu uwanjani na kukosa magoli ya wazi.....Emmanuel Okwi,Felix Sunzu,Haruna Moshi na baadaye Gervais Kago wameisumbua sana beki yetu leo shukrani zimuendee Shaban Kado kwa umahiri wake golini...

Ila kwa Haruna Niyonzima Yanga tumelamba dume......I wish angecheza na Nurudin Bakari mambo pale katikati yangekuwa mswano leo...

Btw.....Kuna taarifa Rage anapeleka Ngao na timu bungeni ijumaa ili ipongezwe na wahishimiwa.....

Hongereni sana watani........Mlistahili ushindi

Football ni mcezo wa makosa. Sijaangalia mpira, ila kwa utangazaji wake napata picha kwamba Yanga kama vile waliidharau Simba au kama vile hawakufanya mazoezi miezi kadhaa. Poor display show!!!!
AU pengine ni mfumo ambao Sam Timbe aliwaambia waucheze lakin either hawajauelewa au haukufanya kazi.
But I still believe, Yanga is a very good team
Today's defeat is a good challenge to players and coach
 
Football ni mcezo wa makosa. Sijaangalia mpira, ila kwa utangazaji wake napata picha kwamba Yanga kama vile waliidharau Simba au kama vile hawakufanya mazoezi miezi kadhaa. Poor display show!!!!
AU pengine ni mfumo ambao Sam Timbe aliwaambia waucheze lakin either hawajauelewa au haukufanya kazi.
But I still believe, Yanga is a very good team
Today's defeat is a good challenge to players and coach

ndugu yangu, wewe michezo imekupita kushoto au ndo unazi umekujaa?? balantanda ameeleza vizuri lakini wewe wajaribu kumkosoa kwa sababu tu ya upenzi wako, ok, halina tatizo hilo

lakini hivi yanga wanaweza kuidharau simba?over the last ten years mmeshinda mara ngapi na simba mara ngapi ndugu yangu? hivi sasa nyie si ndo mmeanza kuibika kutoka kwenye minyororo ya uteja? ni kama tottenham kwa arsenal, kwamba kwa kuwa wameshinda 2 out of 3 matches na hyo ya 3 ilikuwa droo basi wakikutana na arsenal wawadharau?ilhali wao walikuwa wateja wa arsenal since 1999?

hakuna kitu kama hicho hapa bongo, ila mpira labda uliwakataa tu
 
Panua akili yako, ona mbele zaidi. Kila mtu anasema, na hata Chadema na CUF wanakiri waziwazi kwamba CCM ya Mwalimu J.K. Nyerere ilikuwa na maadili ya uadilifu wa hali ya juu. Hii ndio sababu ya Yanga kuimba CCM, CCM kutokana na uadilifu huo.
Au la, wewe utakuwa ni mtoto wa miaka ishirini na kitu, ndio maana unaongea hivi.
Yanga wanashangilia hivyo tangu miaka ya 70, na sasa imekuwa kama mazoea tu

Wewe ndo unahitaji kupanua akili yako na kutambua kuwa ccm ya mwalimu sio ccm hii ya kikwete.

Hata hivyo nashindwa kukuelewa unataka kusema nini wakati unakiri kwamba ccm ya nyerere ilikuwa na maadili ya hali ya juu, sina shaka unajua kwamba ccm ya kikwete haina maadili.

Katika hali kama hiyo mtu haitaji kuwa na miaka ishirini ama arobaini kutambua kwamba, hicho kibwagizo hakina maana wala mantiki zaidi ya kuonyesha uzoba kwa mashabiki wa yanga, na ndio maana hata washabiki wa simba hutukejeli kwa kuimba ccm wanapotufunga.

Michezo ni siasa mkuu, kama ulikuwa hujui hilo sasa chukua hiyo!!
 
Back
Top Bottom