'Ngabu nina mimba'

nyani utoto utaacha lini
 
Hapo DNA testing inahusu kabisa.
DNA ya nini? Hiyo mimba ni yako na inawezekana kabisa minba kuonekana kwa siku hizo kama unabisha kanunue kipimo 1000 tu upime, ulipokuwa unapata utamu hukujua kama hana akili umempa mimba ndo umejua, ila hongera baba kijacho
 
Reactions: BAK
DNA ya nini? Hiyo mimba ni yako na inawezekana kabisa minba kuonekana kwa siku hizo kama unabisha kanunue kipimo 1000 tu upime, ulipokuwa unapata utamu hukujua kama hana akili umempa mimba ndo umejua, ila hongera baba kijacho

Naah...DNA bado inahusu.
 
mimba ya mama tu baba anazawadiwa
kuna mademu wakipata mimba wanachagua mtu mwenye uhakika wa maisha kisha unasukumiziwa zigo
Lazima utafte wa kumshikisha maskio tu hapo na u force kulala naye ili umsingizie
 
Reactions: BAK
Ha,haaaaaaa....Ngabu banaeee, hyo ni mimba yako we lea tu,ila dah nimecheka sana jmn
 
Ndomu za jero sio aise! Mi nikiona sina uhakika wa kupata angalau rough rider ntajikaza niache. bora we ni mimba! Kesho ukiambiwa pancha la maisha?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…