Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,787
- 8,382
Kama umeona kausha damu je."Kataa ndoa, Linda uchumi"- kauli ya kihuni sana kukataa ndoa ndio kuruhusu ushoga na umalaya kuongezeka.
"Ndoa kwanza ,uchumi utajijenga wenyewe" -kwanza duniani ni njiani tunapita tyuu