Next week: Ukweni for the first time

Next week: Ukweni for the first time

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,230
Reaction score
10,201
Pray for me MMU Members in the next week's Event
 
Jiombee mwenyewe....
Acha roho mbaya mrembo!Ngoja ni kuombee kijana!Eehee zee la madevu naomba umbariki huyo kiumbe mwenye uchu wa ngono, madaraka, pombe na pesa! Umpunguzie ule umri wake wa kula bata hapa mjini na ikiwezeka kwa uweza wako mpe uhamisho wa kudumu akaishi aheraa Amina!!
 
Acha roho mbaya mrembo!Ngoja ni kuombee kijana!Eehee zee la madevu naomba umbariki huyo kiumbe mwenye uchu wa ngono, madaraka, pombe na pesa! Umpunguzie ule umri wake wa kula bata hapa mjini na ikiwezeka kwa uweza wako mpe uhamisho wa kudumu akaishi aheraa Amina!!
I would really appreciate it if you would stay outta my hair..THANK YOU!
 
Kwa mila na desturi za kitanzania, ukweni ni pahala pakuonyesha ni dhamu ya hali ya juu.Hivyo epuka tabia zako za urafi,umbea, upayukaji,uchafu,uzizi, uvivu,uchoyo na kiburi pia kama unaenda shemeji usitumie mwambie kulialia na kusema ovyo asidhubutu maana wakwe mtawatia majaribu.Nakutakia safari njema dogo.
 
Kwa mila na desturi za kitanzania, ukweni ni pahala pakuonyesha ni dhamu ya hali ya juu.Hivyo epuka tabia zako za urafi,umbea, upayukaji,uchafu,uzizi, uvivu,uchoyo na kiburi pia kama unaenda shemeji usitumie mwambie kulialia na kusema ovyo asidhubutu maana wakwe mtawatia majaribu.Nakutakia safari njema dogo.
Mmh...
 
Unaenda kwa wakwe au kwa wake? Angalia spelling! Lol..
 
So unaenda kuongeza mkataba wa ndoaaaaa au ku'terminate????
 
Ndugu unaomba sala kwani unaenda 'vitani'?!
 
Sikutakii mema huko kwa sababu huyo unayemfuata ukweni alinitolea nje akakukubali wewe.
 
Bramo unachotakiwa kaka ni ku Relax... na uwachukulie kama ndugu zako... after all ndio mwaungana... Hakikisha umevalia vizuri but usizidishe saana, alafu kama ni mpenzi wa Perfume... Please just a drop - usimiminie nyiiiingi, na kama ni mtu wa swagger fulani hivi... nakusihi usilete pose saana.... Hata hivo kuenda kwa Wakwe siku zoote lazima onesha nidham... kama uko saaana nervous technique moja wapo ni kutanisha mikono yako mbele (yaani ka kwa adabu fulani...) sio kifuani - usawa wa chini ya kitovu.... wakati wa kutoka kutanisha mikono yako nyuma.... Kwa wale wanaoelewa it speaks volumes about the mchumba... Make a KILLING first impression... it will last siku zooote ktk akili yao... BEST OF LUCK...
 
Back
Top Bottom