Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,746
- 40,899
Yule Mbunge aliyesema Pumba Bungeni ambaye alitaka watu walioambukizwa virusi wawekwe alama amepewa siku kumi akutane na waathirika na pia awaombe radhi. Yeye mwenyewe hata hivyo analaumu vyombo vya habari kuwa hakusema anachodaiwa kusema ingawa alionekana akisema alichosema kwenye Luninga akiwa Bungeni. Hadi hivi sasa sijui kama atakubali kuomba radhi au la..