News Alert: UFO in Dar

Tazameni juu upande wa Kusini Magharibi (South West) kuna kitu si cha kawaida kinatoa mwangaza. Wenye ma camera ya ku zoom, haya tujuzeni.

Usiwe na taabu wa shaka. Mwanga huo unatoka katika kituo cha kimataifa cha angani. Kiko umbali wa takribani km 400 toka uso wa dunia.

Mwanga na nuru hiyo huonekana kuzunguka zunguka, kufifia na kuomgezeka. Ni tukio la kawaida, mara nyingi tu hutokea.
 
Niliahidi kuleta picha, mtandao unasumbua, tuanze na hii:

DSC_0438.JPG

Hicho kama ki dot juu ya mnazi. Nimetumia simu experia kupiga hii picha kutokea maeneo ya mikocheni. Tarehe 10-02-2015 between 8-9 pm.
 
Camera yenyewe ya simu, hata kutoka hizi nimeshangaa nilidhani hazitoonesha kabisa. Ngoja zipo nyingine ntapandisha.

Ulipoiweka hiyo picha kuna kitu nikakumbuka kufuatilia mtandaoni, nayo ni kalenda ya unajimu ya mwezi wa pili...

Kuna uwezekano umefanikiwa kuiona sayari ya Mshtarii au Sumbula (Jupiter) ambayo kwa mwezi wa pili siku ya 2 hadi ya 3 ilikuwa inaonekana kutoka duniani...

Soma hapa chini habari zake...

http://earthsky.org/tonight/full-moon-and-jupiter-from-dusk-till-dawn-on-february-3-4
 
Back
Top Bottom