@FaizaFoxy huwa uwezo wa kuhoji shule yangu!!!!
Na sio lazima nipitie utumbo wote humu ili kuona picha....
Ungeweza kusema tu umeweka.....
Na sio lazima nipitie utumbo wote humu ili kuona picha....
Ungeweza kusema tu umeweka.....
Mmekurupuka kabla hamjaipitia hii nyuzi ipaswavyo, katazame post namba 58, 62 na 66.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?