News Alert: UFO in Dar

News Alert: UFO in Dar

Arusha,siku ya Jumatatu na Jumanne mida ya kati ya saa 2.30 (mbili na nusu)-4 hivi, upande wa magharibi ilikuwa kama kuna nyota fulani yenye mwanga mkali tofauti na nyota tulizozizoea,mara ya kwanza nilidhani ni KLM inafanya approach ya KIA (coz ndo mida yake hiyo kila siku na huwa inapita usawa wa kwetu) lakini tofauti na inavyokuwa KLM ikawa haisogei karibu.In my mind nikadhani aaah ni nyota au ni mawazo yangu.
So nathibitisha kuona kitu cha mwanga mkali kwa kutokea Arusha.
 
Don't miss Venus and Mars on 19,20 and 21 of February 2015.

cc: Watu8 na FaizaFoxy

Venus huwa yaonekana kirahisi mno na pengine ndio sayari ambayo karibu watu wote wameshapata kuiona...

Mars nimeshawahi kuiona, kuna wakati Dunia na Mars zilikuwa karibu kiasi cha kuiona bila kionambali kama sikosei ilikuwa 2008...
 
Last edited by a moderator:
Venus huwa yaonekana kirahisi mno na pengine ndio sayari ambayo karibu watu wote wameshapata kuiona...

Mars nimeshawahi kuiona, kuna wakati Dunia na Mars zilikuwa karibu kiasi cha kuiona bila kionambali kama sikosei ilikuwa 2008...

Kati ya Venus au mars huku znz inaonekana kawaida tu. Tena unaiona kubwa kubwa
 
Hakuna kitu kama UFO,hizo ni science fictions tu,na mama yangu FaizaFoxy naye amedakwa kwenye mtego huo wa nzi?
UFO=Unidentified Flying Object, hivyo basi flying object yoyote ambayo haijatambulika ni kitu gani ni UFO, ikishatambulika inapewa jina: kandili ya wachawi, drone, kimulimuli nk
 
How can u call a still object an UFO? That means u dont know what is an ufo!
 
Kati ya Venus au mars huku znz inaonekana kawaida tu. Tena unaiona kubwa kubwa

Venus huwa yaonekana nyakati za magharibi wakati wa jua kuzama na nyota hazijaanza kujitokeza angani au nyakati za alfajiri wakati wa kuchomoza kwa jua na nyota zikiwa zimefifia...
 
Venus huwa yaonekana nyakati za magharibi wakati wa jua kuzama na nyota hazijaanza kujitokeza angani au nyakati za alfajiri wakati wa kuchomoza kwa jua na nyota zikiwa zimefifia...

Haswaaa. Hivi ndo time inoonekana wazi wazi
 
That UFO or rather planet is today visible again.
 
Back
Top Bottom