Ni kweli anachosema FaizaFoxy kama uko maeneo ya Bagamoyo road baada ya Traffic lights za mwenge angalia mkono wako wa kulia kama unaelekea Mbezi Beach......Ni nyota kama nyota nyingine na si mara ya kwanza kushuhudia
Kumbe hiyo Shy Land ni urembo tu! mie najuwa Shy = Shinyanga.
Tusubiri wataalamu watatuelewesha vizuri.....Exactly na picha nimepiga ya kutokea kwenye simu, ndiyo maana nikasema wenye camera za zoom wapige picha. Sidhani kama ni nyota kwani naona sasa hivi imeshuka chini.
Not all UFO's are aliens.