Labda UFO SARO..
Unaangalia habari eh. FaizaFoxy.
Kama ni kitu chake ni ngumu kukiona!!!
Huwa nashindwa kuelewa hivyo vitu huwa ni 'Unidentified' in which sense?
Tazameni juu upande wa Kusini Magharibi (South West) kuna kitu si cha kawaida kinatoa mwangaza. Wenye ma camera ya ku zoom, haya tujuzeni.
Hakuna kitu km hicho.tunadanganyana.ufo ni hadithi yakusadikika
Huwa nashindwa kuelewa hivyo vitu huwa ni 'Unidentified' in which sense?