Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,380
- 39,335
Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Tanzania, wameamua kufungua kesi mahakamani ambapo wanataka kifungu cha 13 cha sheria ya ndoa ya 1971 ambacho kinaruhusu binti wa miaka 14 kuolewa kuwa ni kinyume na Katiba na mikataba ya Kimataifa ambayo Tanzania imeridhia. Kesi hiyo ambayo mshitakiwa mkuu ni Mwanasheria Mkuu wa serikali inalengo la kutaka mahakama "itangaze" kuwa umri wa vijana kuoa/kuolewa ni kuanzia miaka 18. Unaweza kuisoma sheria hiyo ya ndoa hapa chini au kwa kubonyeza SHERIA YA NDOA YA 1971
Sehemu ya kifungu hicho inasema:
Sehemu ya kifungu hicho inasema:
13.-(1) No person shall marry who, being male, has not attained Minimum age the apparent age of eighteen years or, being female, has not attained
the apparent age of fifteen years.
(2) Notwithstanding the provisions of subsection (1), the court shall,
in its discretion, have power, on application, to give leave for a
marriage where the parties are, or either of them is, below the ages
prescribed in subsection (1) if-
(a) each party has attained the age of fourteen years; and