Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Hatimaye serikali imeamua kutonunua mitambo ya Dowans SA kwa mujibu wa waliosikiliza BBC. Tovuti ya GlobalPublishers katika taarifa yao leo iliyoambatana na picha wamesema kuwa:
My Original story...
Yawezekana mko sahihi kabisa, waliotoa taarifa awali (global publishers) wao ndio walioripoti hiyo kwanza...
Yeah...yeah...yeah! Stop it! Si ajabu umepotosha makusudi!
Ingekuwa source yako ndio imekosea lisingekuwa tatizo, kibaya ni kwamba ume-misrepresent kile kiilichosemwa na source yako.
Source yako - ambayo mwanzoni uliificha - iliandika "Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngereja, leo alielezea azma ya Serikali kununua mtambo..."
Wewe ukaleta habari kwamba Waziri kaeleza uamuzi, huku ukijua wazi tofauti ya azma na uamuzi. Wewe unajua Kiswahili as good as anybody around. Kwa hiyo si ajabu ulipotosha kwa makusudi.
Ndio maana hata Gazeti lako la Fikra za Cheche huwa nalisoma with a huge grain of salt. Sikuaminiamini. Ulishasema "I am on a mission." Hata kama nikiwa nachukia ufisadi vipi na wewe nia yako ni kupigana dhidi ya, na ku-bring down corrupt regimes, nikishajua unaweza ku-compromise ukweli for the sake of "the mission" basi nitajua kuna siku utanidanganya tu. Sintokuamini.
And speaking of Cheche, original post yako umeiandika kama vile huna uhusiano na hicho "kijarida kimoja kinachotoka kila Jumanne kwenye mtandao." Ilibidi u-reveal kwamba wewe unaeleta habari kwamba serikali imeamua manunuzi despite "taarifa za kuufunua mchezo" zilizoandikwa na "kijarida" ndio wewe mwenyewe uandikae hicho kijarida. Unafahamu kwamba ilibidi useme.
Mwanakijiji you know those high standards better than most Tanzanian editors, usiwe crummy kwa sababu tu unaandikia audience isiyojalijali hizo standards. Jaribu kujiwekea viwango no matter who the audience or "your mission."!