Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,761
- 40,974
Nasikia Serikali imetangaza kima kipya cha chini cha mishahara... kama kuna mtu tayari anajua ni kiasi gani...?
inaanza lasmi November mkuu ila isije ikawa ajenda yakutusahaulisha buzwagi na Bot
inaanza lasmi November mkuu ila isije ikawa ajenda yakutusahaulisha buzwagi na Bot
Data kamili ni hizi hapa,
Serikali imetangaza viwango vipya vya mishahara ya kima cha chini ktk sekta binafsi ambapo wafanyakazi wa ndani watalipwa sh 65,0000 kwa mwezi. wahudumu wa baa na nyumba za wageni watalipwa 80,000, nyongeza hiyo ya mshahara imetangazwa na bwana Chiligati ambaye ni waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana. ameendelea kusema kuwa sekta ya madini,usafiri, na mawasiliano kima cha chini kitakuwa 350,000. wandishi wa habari watalipwa 250,000, kwa wale waliopo taasisi za dini wanatakiwa kulipwa 150,000 kwa mwezi aidha vyombo vya habari vya dini waliomba sana kiwango kiwe kidogo kwavile watu wake wanatoa huduma za kiroho. kwenye sekta ya afya wafanyakazi wanao uza madawa watalipwa 120,000, wakati makampuni ya kigeni ya ulinzi kima chao cha chini kitakuwa 105,000 mpaka 80,000 kulingana na ukubwa wa kampuni. kwenye sekta ya kilimo kima cha chini kitakuwa 65,000 na upande wa sekta ya maji hasa mabaharia wa meli za mizigo kima chao cha chini kitakuwa 225,000
Hivi wametumia kigezo gani kupanga kima hicho cha chini?
inaanza lasmi November mkuu ila isije ikawa ajenda yakutusahaulisha buzwagi na Bot
jamani na kule kwetu SMZ vipi KCC kikoje? mwenye data atuupdate
Mta wa Pwani, mh. Rais naona yupo bize anakagua kwanza mafuriko, labda faili halijamfikia.....LOLjamani na kule kwetu SMZ vipi KCC kikoje? mwenye data atuupdate
Data kamili ni hizi hapa,
Serikali imetangaza viwango vipya vya mishahara ya kima cha chini ktk sekta binafsi ambapo wafanyakazi wa ndani watalipwa sh 65,0000 kwa mwezi. wahudumu wa baa na nyumba za wageni watalipwa 80,000, nyongeza hiyo ya mshahara imetangazwa na bwana Chiligati ambaye ni waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana. ameendelea kusema kuwa sekta ya madini,usafiri, na mawasiliano kima cha chini kitakuwa 350,000. wandishi wa habari watalipwa 250,000, kwa wale waliopo taasisi za dini wanatakiwa kulipwa 150,000 kwa mwezi aidha vyombo vya habari vya dini waliomba sana kiwango kiwe kidogo kwavile watu wake wanatoa huduma za kiroho. kwenye sekta ya afya wafanyakazi wanao uza madawa watalipwa 120,000, wakati makampuni ya kigeni ya ulinzi kima chao cha chini kitakuwa 105,000 mpaka 80,000 kulingana na ukubwa wa kampuni. kwenye sekta ya kilimo kima cha chini kitakuwa 65,000 na upande wa sekta ya maji hasa mabaharia wa meli za mizigo kima chao cha chini kitakuwa 225,000